Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Leo asubuhi Magufuli wakati yuko Misungwi amesikika akisema hapa kuanzia Mbunge hadi Madiwani wamepita bila kupingwa. Na akaenda mbali zaidi na kudai najua kuna mapingamizi yako Tume ila kwa dharau akasema najua wa hapa washapita labda kwingine huko ndio watarudishwa.

Nachokiona hii sio tume huru na nachokiona ni mkakati wa kuwatoa wale wote ambao ni kwikazo kwao na kuwarejesha wasio na madhara kwa CCM. Na majina yapi yarudi bila shaka alihusika kuchambua na kupendekeza ili jumuiya ya kimataifa ione kama tume iko huru.

Sasa kama kati ya rufaa 65 zinakubaliwa 15 na 40 kukataliwa nini maana yake?
 
NEC inafanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, na haipo pale kufanya hisani ya nani arudi nani akatwe. Tume imefanya kazi yake kwa kuzingatia vielelezo vilivyo tolewa na kutoa maamuzi
 
Leo asbh magufuli wakati yuko misungwi amesikika akisema hapa kuanzia mbunge hadi madiwani wamepita bila kupingwa. Na akaenda mbali zaidi na kudai najua kuna mapingamizi yako tume ila kwa dharau akasema najua wa hapa washapita labda kwingine huko ndio watarudishwa...

Hamna namna utatofautisha NEC na CCM na Serikali. Tusubiri mpaka mwisho lakini hakika hakuna kitakachobadilika hasa kwa CDM na ACT hasa Pemba.
 
Bavicha wanaitisha NEC
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
TUME ya UCHAGUZI,

Tumieni HEKIMA kama Mfalme Seleman.

RUDISHENI WAGOMBEA WOTE WALIOENGULIWA, PASIWE NA KUPITA BILA KUPINGWA.

SANDUKU LA KURA LITAAMUA.
Siyo wao. Na wao wanatumwa, ndiyo maana Kuna mgombea anajiamini Sana hata kufikia hatua ya kuwatisha wapiga kura.
 
Back
Top Bottom