Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 53
- 539
Naiomba kule zanzibar tume isiwarudishe wale wa act,,ni hatari
Ngoja tuone!Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya rufaa za udiwani na ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi mkuu wa 28 Oktoba 2020
Nec ina jeshi?!Amani ya Tanzania ipo mikononi mwa nec....
Tumesema Hatutakubali tunasema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Vyama vitupe mrejesho harakaNgoja tuone!
Sasa Nec wangetangaza kabisa kuliko kuja nusu nusu!Vyama vitupe mrejesho haraka
Inakuwa kama wanapima upepo. Watu wanataka majina na sio idadi.Sasa Nec wangetangaza kabisa kuliko kuja nusu nusu!
NEC wanapima upepo!!Hii ni hatari sana
Wanapima upepo kwanza.Sasa Nec wangetangaza kabisa kuliko kuja nusu nusu!