Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

CCM ilitawanya wataalamu wake nchi nzima kwenda kuwasaidia wagombea wake jinsi ya kujaza fomu kikamilifu!
 
CCM ilitawanya wataalamu wake nchi nzima kwenda kuwasaidia wagombea wake jinsi ya kujaza fomu kikamilifu!
Achana na hadithi za kusimuliwa, mimi sio mtaalamu wala nini lakini nilimsaidia mgombea wa Ccm hasiyejua kusoma wala kuandika kujaza form yake
 
Naiomba kule Zanzibar tume isiwarudishe wale wa ACT ni hatari
Ni hatari wakirudishwa au ni hatari wasipo rudishwa?

Wasipo rudishwa ni hatari maana watakua wanapora haki yao na haki ya wapiga kura mchana kweupe.

AMANI ni tunda la HAKI, km hakuna haki ni vigumu kuzungumzia Amani
 

Hapo bado la kutafuta tunalitafuta.

Suruhu hapa ilikuwa kuacha sanduku la kura kufanya kazi yake.

Ushindi wa mezani wa nini?
 
KWA UFUPI WAGOMBEA 40 KATI YA 50 WAMEKUWA APPROVED 10 WAMELIWA KICHWA NA KWA VYOVYOTE NI WA UPIZANI.

KWA KASI HII TUME ITATUMIA SIKU 13KUMALIZA RUFAA 557
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…