Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

Ccm mna propaganda za kitoto sana, mmefanya siasa peke yenu miaka mitano ila bado mmeamua kutafuta ushindi wa mezani kwa nguvu.
 
Kama akili yako imeona hivyo basi INA walakini
 
Huyu hapindui kwa aliyemuweka hapoView attachment 1564833
Huyu jamaa hsikosi anatumia nguvu za Giza. Mbona wateule wake wote akiwateua wanageuka kuwa zaidi ya Kondoo?
Anawapiga kipapai wakati wa kuwaapisha? Hebu ona mtu kama Kabudi kabla alikuwaje, Mpango jee? Na wangapi hata wakati wa JK walipoteuliwa walikuwa wachapa kazi na wenye hoja sasa wakoje? Yaani in mazombie kabisa shida inaanzia wapi?
Tumuombe Mshana Jr aje atusaidie kuangalia kwa jicho LA tatu kuwa jee hii ni kipapai au zongo?
 
Tutakaoamua mgombea yupi tunamtaka aje kutuongoza ni sisi wananchi hao nec wasilazimishe kutuwekea watu tusiowataka, busara ndogo tuu ingetumika kuondoa huu uozo unaonuka wa kupita bila kupingwa..
 
Wewe huoni shida kiongoz wa tume kuwa mwanaccm.nchi hii safari yetu ni ndefu sana.
 
Jamani, kwa wale ambao wana orodha ya Majibu ya Rufaa za NEC kwa wakati huu tunaomba waweke hapa ili tuandae mikakati kwa jili ya kuhakikisha kwamba wale wote wenye sifa wanarejeshwa kwenye sanduku la kura.
Sawa
 
Wale 900 wa Gamboshi watakuwa wamehusika
 

Uungwana wa mtu unakuwa defined kwa kukataa/kutokukubali kushiriki uovu dhidi ya binadamu wenzako....

Kama ni mtu wa principles, basi ajiuzulu nafasi hiyo ili kuepuka kushiriki dhambi ya kunyima ama kupora watu haki zao kwa jina la dola/uzalendo...

Hii ndiyo the best practice ya mtu anayeishi ktk principles za haki...m
 
Hakika CCM ni chama kikubwa sana .....
 
Hana principles zozote ni mhuni tu kama wahuni wengine
 
Wana nafasi ya kuwatimua wote waliofanya maamuzi ya kipumbafu huko chini kama walivyofanya kule Moshi. Ebu fikiria maamuzi ya kipumbafu unayoyasema yakifanyika wakati wa kutangaza matokeo, si itakuwa hatari. Si unajua matokeo yakishatangazwa (ubunge na udiwani) hakuna rufaa tume - labda mahakamani; na unaujua mlolongo wa taratibu za mahakama!
 
Atamtangaza mpinzani hata kama hajashinda ?

Yule Mahera ni mshenzi tu kama washenzi wengine
 
Hata nami nime fanya kazi na huyu Mahela, kwanza ni kada mwaminifu wa Ccm, pili ni mwoga hana maamuzi akikoromewa na mamlaka iliyoko juu yake. Refer Jerry Muro alivyo mfokea mbele ya media.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…