Ryaro ryaro
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 380
- 1,170
Kulikuwa na uchaguzi mkuu au uharibifu mkuu?Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.
Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.
Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%
2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%
Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%
Au nasema uwongo ndugu zangu?
Kazi Iendelee!
CCM ni wajinga sn mkuuKwa Mh. Tundu |Lissu unamuonmea maana uchaguzi haukufanyika,,
Wekeni tume huru ya uchaguzi ondoeni figisu muone ambavyo hamkubalikiNilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.
Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.
Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%
2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%
Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%
Au nasema uwongo ndugu zangu?
Kazi Iendelee!
MUNGU wetu ni mwema sn, yeye aliamini kwenye bunduki lakini MUNGU akamuonyesha kuwa mabomu na bunduki si kituKichwa chako ni kibovu,hukuona uchaguzi ulivyoendeshwa na wakurugenzi wa yule pimbi kutoka kanda ya ziwa
Ukweli wanaujua vizuriWekeni tume huru ya uchaguzi ondoeni figisu muone ambavyo hamkubaliki
Kazi iendeleeNilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.
Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.
Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%
2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%
Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%
Au nasema uwongo ndugu zangu?
Kazi Iendelee!
2020 uchaguzi ulikuwa wa hovyo , ukiangalia graph ilivyokuwa inapanda 2020 CCM ilikuwa haishindi,Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.
Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.
Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%
2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%
Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%
Au nasema uwongo ndugu zangu?
Kazi Iendelee!
Mungu ameshaitoa haki bila watu kuingia barabaraniHamwingiii barabaranii kudai hakii
Hapo ndo tunapooneshwa nguvu ya Mungu kuna watu wanadhurumu, wanaua, wanafunga , wanatesa watu bila ya sababu za msingi wakae wakijua malipo yao yapo hapa hapa duniani...Mungu ameshaitoa haki bila watu kuingia barabarani
AiseeeeUchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stop
Wewe endelea kuchochea dhuluma ipo siku.Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.
Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.
Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%
2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%
Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%
Au nasema uwongo ndugu zangu?
Kazi Iendelee!
Sio lazima uwe mchungaji ili mungu akutumie, mungu wangu yupo up to date Sana,Uchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stop
Mkuu mungu yu hai, na yupo up to date kila siku hasa KWA watu wachache wamtumainie bila kujali hu mchungaji au la ,Aiseeee
Anatafuta kickKichwa chako ni kibovu,hukuona uchaguzi ulivyoendeshwa na wakurugenzi wa yule pimbi kutoka kanda ya ziwa
Mmh