Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.

Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.

Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%

2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%

Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%

Au nasema uwongo ndugu zangu?

Kazi Iendelee!
Kulikuwa na uchaguzi mkuu au uharibifu mkuu?
 
Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.

Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.

Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%

2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%

Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%

Au nasema uwongo ndugu zangu?

Kazi Iendelee!
Wekeni tume huru ya uchaguzi ondoeni figisu muone ambavyo hamkubaliki
 
Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.

Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.

Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%

2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%

Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%

Au nasema uwongo ndugu zangu?

Kazi Iendelee!
Kazi iendelee

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.

Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.

Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%

2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%

Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%

Au nasema uwongo ndugu zangu?

Kazi Iendelee!
2020 uchaguzi ulikuwa wa hovyo , ukiangalia graph ilivyokuwa inapanda 2020 CCM ilikuwa haishindi,
5.8- 20.2
26 - 13.9
39.9 , -10
49.9
Mwaka huu 2020 , walikuwa na probability ya kupata kura 49.9%, CCM wangepata 48.1%.

Kama haki ingefuta hakuna chama kingevuka Asilimia 50.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stop
Aiseeee
 
Nilikuwa napitia pitia matokeo ya chaguzi za Rais nikavutiwa kwa namna graph ya Chadema ilivyokuwa inapanda.

Chadema ilianza kushiriki rasmi uchaguzi wa Rais mwaka 2005 ambapo Mbowe aligombea na kupata 5.8% ya kura zote.

Dr Slaa aligombea 2010 na kukipaisha chama kwa kupata 26%

2015 aligombea mzee Lowassa na kuing'arisha Chadema kwa 39.9%

Na 2020 amegombea Tundu Lisu na kuishusha Chadema hadi 13%

Au nasema uwongo ndugu zangu?

Kazi Iendelee!
Wewe endelea kuchochea dhuluma ipo siku.
 
Uchaguzi wa 2020 mungu ndo ajua,ipo siku mungu ataoneshesha uwezo wake,ujumbe mahalum elekea 2021, mungu anawataka WOTE wakatubu,vinginevyo vilio lahana vitatawala kuu yao ,mmoja Bahada ya mwingine, sio ujumbe wangu bali asema bwana,elekea 2021 ,so hutaki acha,full stop
Sio lazima uwe mchungaji ili mungu akutumie, mungu wangu yupo up to date Sana,
 
Back
Top Bottom