Congressman
JF-Expert Member
- Jun 2, 2020
- 781
- 2,305
Amepata jibu leo Watanzania wanataka maendeleo. Safi sana. Hao mabubu BAK wanaotaka kusema Wacha waendelee kuwa mashoga wa wazungu.
Duuuuuuuuuh! Awamu ya sita hahahhahha,kweli Tanzania tuna vilaza wengi ety hao ndo wanategemewa na vizazi vyao kuweka nchi kwenye maendeleo ya kijamii,sayansi na technolojiaNi shangwe tupu baada ya Mgombea urais kupitia CCM Ndugu John Pombe Magufuli kutangazwa kuwa Rais Mteule wa awamu ya sita kwa kura zaidi ya milioni 12 akimuacha mbali Mgombea wa Chadema Tundu Lissu.
KONGOLE Mh Rais John Pombe Magufuli.
Magufuli - 84.40%Asilimia ngapi vile [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.
NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine itakuwa wameyatupa hawajayahesabu.
Unalilia kitu ambacho hujui. CCM re-incarnates itself year after year kwa hiyo kuiondoa madarakani sio rahisi. Angalia DJ Mlevi wa konyagi tangu amekuwa mwenyekiti, CCM wamekuwa na wenyekiti wangapi? Ukilijua hilo lazima ukubali kwamba CCM watatawala milele kwa sababu kila baada ya miaka 10 wanabadili Jemedari mkuu nyinyi tangu chama cha ukoo kianze mna yule yule mwizi ooops mlevi wa konyagi.Kwa jaji yupi ufungue kesi?Kwa katiba ipi hii ya mkoloni ?
Huku kwetu hakuna shamrashamra kabisa,watu wanaongea vibaya eti wansema wameibiwa kura.yani full nyuso za kukata tamaa.Watu wamelipuka kwa shangwe huku mtaani kwetu balaaaaaaaa
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemtangaza Dkt. John Magufuli, aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28....
Ndio maana sisi tunasema hakuiba😐😐😐😐Kuiba kote hata 99.999% hajapata 🤣🤣🤣🤣
Tanu is back
Net ni mpk aapishwe halafu amalize kqma wiki hivi akisikilizia Lisu anasemaje ndiyo atafungulia.Magufuli fungulia internet sasa. Isnt it enough??