Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana. Tunataka azidi kututawala hata miaka 15 ijayo ili aishikishe adabu hii nchi.Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemtangaza Dkt. John Magufuli, aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28. Pia imemtangaza Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais Mteule.
Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura 12,516,252 (sawa na 84.4% ya kura halali) akifuatiwa na aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ambaye amepata kura 1,933,271 (sawa na 13.04% ya kura halali)
Dkt. Magufuli ambaye pia ni Rais wa Tanzania amepata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili kama Marais waliotangulia.
Tume imesema walikuwa na jumla ya watu 29,754,699 waliojiandikisha kupiga kura, na waliopiga kura walikuwa 15,091,950. Kura halali zilikuwa 14,830,195 huku kura 261,755 zikiwa zimeharibika.
Mtaani watu hawna kabisa furaha, watu wamechoka na siasa za uongo na ulaghai za mwamba, nchi imekaa kimya utadhan tuna msiba wa kitaifa.
Huwezi jua anamshukuru mungu yupi.
Eti!?Siku ya kufunga kampeni pale Tanganyika Parkers, Lissu alisema NEC imemuandalia jiwe kura milion kumi na mbili
Chaguo la wananchi wa wapi wewe ajuza mbona hujielewi, Tanzania ni nchi nyingine kiaje kwamba imekuwa giant wa economy East Africa au raia wake wana ajira ili kuweza kumudu maisha?vizuri umeelewa.. basi kwa lolote.. ujue miaka mitano ijayo hata ufanyacho.. hakuna vya dezo tena.. Tanzania ni nchi nyingine kabisa... Magufuli tano tena.. mtasaga meno kama yalibaki kabla.. punguzeni hasira mjipende.. chaguo la wananchi ni Mgufuli oyeeeeee
Tume ya Taifa ya Uchaguzi imemtangaza Dkt. John Magufuli, aliyekuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM kuwa mshindi wa Uchaguzi uliofanyika Oktoba 28. Pia imemtangaza Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Makamu wa Rais Mteule.
Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura 12,516,252 (sawa na 84.4% ya kura halali) akifuatiwa na aliyekuwa mgombea wa Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ambaye amepata kura 1,933,271 (sawa na 13.04% ya kura halali)
Dkt. Magufuli ambaye pia ni Rais wa Tanzania amepata ridhaa ya kuongoza kwa muhula wa pili kama Marais waliotangulia.
Tume imesema walikuwa na jumla ya watu 29,754,699 waliojiandikisha kupiga kura, na waliopiga kura walikuwa 15,091,950. Kura halali zilikuwa 14,830,195 huku kura 261,755 zikiwa zimeha
Huamini nn sasa. Asitangaze matokeo?
Mitandao inafunguliwa lini sasa????
Mkuu usikubali kuingiliwa mabeberu si watu wazuri.Imeisha hiyooo!! Uamuzi wa watanzania uheshimiwe, uchaguzi ulikuwa huru na was amani, Hii ni nchi huru, hatutaki kuingiliwa na nchi za magharibi.
Tukiwaonya kuwa Lissu ndio mgombea atakaetia aibu kuliko wagombea wote waliowahi kugombea pale chademaYaani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.
NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine watakuwa wameyatupa hawajayahesabu.
Si wangemtangaza tu kabla hata ya kampeni, kuliko kuekti sinema ya matrillioni kwa kodi zetu, tungeokoa hayo matrillioni yakasaidia kutubambikizia kesi zisizo na dhamana wananchi na kununua virungu vilivyo vunjika baada ya kutupiga navyo.
Natamani Mw. Nyerere afufuke kwa siku moja, aje ajionee.
#LINK Askari polisi wakamata shehena za mabegi yenye kura zilizopigwa nje ya kituo, zilikua zinaingizwa kwa njia ya panya ndani ya vituo. Washangaa na kukiri kuna defender la polisi limejaa shehena ya mabegi ya kura zilizokamatwa kama vielelezo.
Zitto Tundu Lissu
Si ndio mlichokuwa mnafanya wakati wa kampeni? Alafu na yeye alivyozuzu akiona uzi wake una page 100 anajiona tayari keshashinda.Ingekua ni Lissu saivi tunatafuta page ya 45 hivi, mana wakati wa kampeni uzi ulikua unakimbia hatari pia.
Magufuli fungulia internet sasa. Isnt it enough?
Ondoa hilo neno "halali"Dkt. Magufuli ameshinda kwa kupata kura 12,516,252 (sawa na 84.4% ya kura halali)
Mimi nikajua atapata million 24
Atakuwa hakufunga yeye. TCRA labda walikuwa wanatest mitambo sasa wamesahau password...ama nini?Kwani amezifunga yeye au unamsingizia tu mteule wa CCM.
Mwambie tu hata bila internet maisha yanasonga acha kumlaumu baba yao
CHADEMASi wangemtangaza tu kabla hata ya kampeni, kuliko kuekti sinema ya matrillioni kwa kodi zetu, tungeokoa hayo matrillioni yakasaidia kutubambikizia kesi zisizo na dhamana wananchi na kununua virungu vilivyo vunjika baada ya kutupiga navyo..
mwengesoSi wangemtangaza tu kabla hata ya kampeni, kuliko kuekti sinema ya matrillioni kwa kodi zetu, tungeokoa hayo matrillioni yakasaidia kutubambikizia kesi zisizo na dhamana wananchi na kununua virungu vilivyo vunjika baada ya kutupiga navyo..