Tume ya Uchaguzi ya Ivory Coast imetangaza Alassane Outtara kama mshindi wa Uchaguzi, aliyepata ushindi wa kishindo wa asilimia 94.27 ya kura

Bado hatujampa nafasi ya kumpima na kujua kama nayeye ni nyani kama hayawani wengine au lah! Wengine tushawapa nafasi ya kutuonesha unyani wao.

Kwani tundu na wazazi wake siyo Waafrika? Wewe umesema Waafrika ni nyani, sasa iweje tena utake kuwapima tundu lisu na wazazi wake kama ni nyani au siyo?
 
Kwani tundu na wazazi wake siyo Waafrika? Wewe umesema Waafrika ni nyani, sasa iweje tena utake kuwapima tundu lisu na wazazi wake kama ni nyani au siyo?
'Waafrika' linamaanisha wingi hivyo wakiwa zaidi ya wawili huweza beba zana ya waafrika.

Kuna mwingine hata sura yake tu inaonesha ni nyani.
 
'Waafrika' linamaanisha wingi hivyo wakiwa zaidi ya wawili huweza beba zana ya waafrika.

Kuna mwingine hata sura yake tu inaonesha ni nyani.

Sasa mbona kama hauna msimamo ? Tundu lisu na Wazazi ni nyani ?
 
Nimekwambia ndio wanaweza kuwa nyani kama wewe tu usichoelewa nini?

Nisichoelewa hilo neno ,,wanaweza'', kwa maana tundu lisu na wazazi wake ni Waafrika pia, na wewe umesema Waafrika ni Nyani hata baba yako hapo juu umemuita Nyani pia, ...
 
Nisichoelewa hilo neno ,,wanaweza'', kwa maana tundu lisu na wazazi wake ni Waafrika pia, na wewe umesema Waafrika ni Nyani hata baba yako hapo juu umemuita Nyani pia, ...
Sawa nyani umeridhika?
 
Siyo suala la mimi kuridhika wewe kumuita tundu lisu nyani bali ni maajabu tu unamuita Baba yako mzazi nyani, kakukosea nini ?
Kunizaa ktk jamii ya nyani kama wewe! Nawewe wazazi wako ni nyani coz wamekuzaa wewe nyani.
 
Kunizaa ktk jamii ya nyani kama wewe! Nawewe wazazi wako ni nyani coz wamekuzaa wewe nyani.

Mimi Wazazi siyo nyani, lkn kama wewe unaamini tundu lisu ni nyani na Mzazi wako nyani siwezi kukuzuia kwa maana sikujui na wala simjui mzazi wako na sijui kakulea katika mazingira gani kukufanya leo hii umuite mzazi wako nyani, ...
 
Mimi Wazazi siyo nyani, lkn kama wewe unaamini tundu lisu ni nyani na Mzazi wako nyani siwezi kukuzuia kwa maana sikujui na wala simjui mzazi wako na sijui kakulea katika mazingira gani, ...
Hahahaha usijifariji wewe ni nyani tu.
 
Wanasiasa wa africa niwalewale tu,awe upinzani au chama tawala,huyu aliingia madarakani kwa msaada,leo amesaliti kile alichokipitia.......Shenzi Sana wanasiasa wa Africa maana wote ni uzao wa tumbo moja
 
Wote walewale tu mkuu,wajinga sana......kelele nyingi vitumbua vikimwagiwa michanga,na sikweli kama wanawapigania wananchi,wote njaa tu
 
Unyani hauishii kwenye siasa bali hadi kwenye maisha yetu ya kila siku. Just imagine miaka mingapi tumeachwa tujitawale lakini tumeshindwa? Hivi mtu dhalili kama wewe unatoa wapi ujasiri wa kujitofautisha na nyani au hayawani wengine wa mwituni?
Nani kakuambia tumeshindwa??
This s our way of doing it (kujitawala)
Waingereza wana mfalme/malkia... Mbona hamjalilia tuwe na mfalme!?!?

Do not judge things at face value.. usidanganywe na global theatre.. power is always a struggle and full of clashes... At the end the powerful always will come out the winner.

Hakuna democracy... Its one group dominating the other ..while the other accepts.. waiting for the perfect chance to turn the table..

Waswahili twasema asiyebali kushindwa si mshindani na Presbo anasema "there is no winning, just one side loosing slowly! Our entire existence is a fight/war/struggle in. Which we are just loosing slowly..until the day we return to the soil..

Once africa was great and the European travelled here to learn. They were not nyani then...and we are not nyani now...

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…