Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Hakuna jibu hapo wanajisumbua bure watanzania wenye Akili timamu wanajia mtukufu mwenyekiti wa CCM amebebwa na NECCCM kwa upendeleo wa kujipendekeza kwake, kanuni mapingamizi yote yapo wazi na kama isingekuwa ni NECCCM mda huu Mtukufu magufuli angekuwa katupwa nje ndiyo maana watanzania wanadai Tume huru ya uchaguzi Hii Tumeccm haifai kabsa inaendekeza uchakachuaji hakuna mfano ni Tume ya hovyo iliyosalia Duniani.
 
Tumeccm hamna kitu hawafai hawafanyi kazi kwa mujibu wa Sheria na katiba ya Nchi bali wanafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM , ni Aibu kuwa na Tume ya aina hii.
 
UTETEZI WA PROF. IBRAHIM H. LIPUMBA

....
Laana ya Lipumba haishiki hata sisimizi kwani Lipumba ni mwanasiasa wa hovyo kupata kutokea Duniani, kwanza juzi juzi walichukua pesa CCM dola laki nne yeye na Shibuda kwa lengo la kuihujumu chadema lakini chadema ikapewa taarifa na wanaccm wasiopenda uonevu wa CCM yao, ndipo chadema wakamuwahi mapema wakawa wamemvunja nguvu asifanye ushetani wake, kwanza Lipumba hana mfano wa kuigwa hata mmoja ni mzee wa hovyo hana familia hana mtoto ni mtu anaishi kihuni tu.
 
Njama za Shibuda na Lipumba kumwekea pingamizi Tundu lisu zililiwa taiming haraka ndipo wakaingia mitini, sasa Lipumba kaamua kujitoa fahamu aongee ufala wake kwa kujikosha akizani watanzania hawajui unafiki wake wote
 

Ukishaweka nia ya kuweka pingamizi, unapewa nakala ya fomu ya mgombea unayemtilia shaka na viambatanisho vyake. Ni utaratibu wa kisheria. Kilangila.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nchi ya Tanzagiza.
 
Na ndo lengo la Mpendwa wetu TAL, na kawaweza haswaaah
 
Wenye 'Akili' kubwa tumeshamuelewa vyema tu Tundu Lissu na hatujashangaa kumuona Mkurugenzi wa NEC akifafanua huku 'anajambajamba' tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mku bhana daaah,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…