Tume ya Warioba yaja na Rasimu ya Katiba yenye maamuzi mazito...

Status
Not open for further replies.

kajipange upya
 
ha ha basi tutakushukuru mzee wetu ila usisahu matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani pliz mzee na mahakama zetu ziwe huru na zitoe haki...tutaanza kuisoma kesho

big up haya ndiyo mambo ambayo watanganyika tunayaitaji, vile vile spika asitokane na chama chochote ili maslai ya taifa ndiyo iwe kipaumbele na si maslai ya vyama , waziri mkuu tumchague ili awe na maamuzi na si kutuletea habari za ingekuwa ni uamuzi wangu D. Jairo ninge................... HATUTAKI WAZIRI MKUU ASIYE NA MAAMUZI WAKUU WA MIKOA NA WILAYA NO KUTEULIWA NA PREZIDEE
 
Na ndoma CHADEMA wamesubili waoe rasimu we unazani tunapinga bila kuwa na hoja na unadhani tunapinga hata mambo mazuri, CHADEMA Tutaisoma rasimu hiyo kama inakidhi matakwa ya watanzania tutasapoti rakini kama haikidhi itapingwa tena kwa nguvu kari, tena ujue mambo uliyo yataja sio pekee yanayo hitajika Tanzania kuna mambo mengi sana.
 
wacha tuzidi kukuombea mzee wetu warioba haya ndio mambo tunayataka sisi wananchi wa tanzania tuko pamoja na nyinyi
 
Kesho siyo mbali, inshaalah, tutaiona rasimu hiyo!
 
Ni vizuri kabisa Tanganyika wakiwa na Nchi yao mama nchi 2 huru ndizo zilizo ungana hapo kabla na Zanzibar na wao wakiwa na nchi yao bendereza zitapepea pa pa pa pa pa pa pa pa kule New York, Commonwealth na Adis ababa
 
Mapolisi kubambikia watu kesi pamoja nda madaraka ya DPP kuingilia uhuru wa mahakama nayo imo?
 

Angalia sehemu ulizo weka R inatakiwa uweke L ha ha au unafanya makusudi...
 
Ngoja tusubiri hayo maamuzi. Hivi report anakabidhiwa Rais au itatolewa hadharani?
 

ndo maana wengi wanajidai hawatagombea ubunge 2015
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…