Tumeachana lakini mwanamke hataki tulee mtoto pamoja; baadaye anataka aseme katelekezewa mtoto na hicho kitu mimi sikitaki

Tumeachana lakini mwanamke hataki tulee mtoto pamoja; baadaye anataka aseme katelekezewa mtoto na hicho kitu mimi sikitaki

piusybruno

Member
Joined
Jan 18, 2023
Posts
11
Reaction score
19
Habari zenu wakuu,

Kuna jambo moja nataka kushare na nyie, nilikuwa katika mahusiano na mwanamke mmoja tukafanikiwa kupata mtoto mmoja tuishi pamoja toka 2021 tumekuja kutengana mwezi wa sita mwaka huu na sababu iliyofanya kutengana ni mke wangu kuanza kubadilika, ana kiburi kupita kiasi, ameanza dharau sana ana jambo anavyoamua yeye in short kama vile anataka kunicontrol tukiwaita wazazi.

Tuongelee wazazi wake kama vile wako upande wake, wanahisi mtoto wao anaonewa nikaona isiwe kesi tukaamua kila afate maisha yake, baada ya muda ya kama mwezi mmoja hivi nikawa najaribu kuwasilian naye ili me niwe naendelea kumlea mtoto wangu kama vile mahitaji ya mtoto. Lakin cha ajabu akawa hatk kupokea simu zangu kaniblock kila mahali nikasema frsh.

Baad ya yeye kukaa kimya kwa muda kuna siku akanitafuta turudishe mahusiano lakini me nikamwambia tulishatengan sabab niliona hajabalika chochot tabia ni zile zile.

Point yangu ni nn hapa, kila mimi nikimwambia tuweke utaratibu mzur wa kumlea huyo mtoto yye hatak kabisa, kabila lake ni Mpare me nataka niwe naendelea kumtunza mtoto wangu lakini mama yake hataki?

Anataka amlee mwenyew ili badae aje aseme ametelekezewa mtoto na mtoto wang nimehangaika nae kuanzia ana mwezi mmoja tumbon mpk kafikisha miaka miwili na nusu leo mama ake hataki nimlee mtoto wang naombeni ushauri wenu.
 
Ushauri wa ndoa ni mgumu Sanaa maana mkikalishwa chini mkaelewana ushauri wetu itakuwa hauna maana..
Na umesema mpare lazima utakuwa chini yake tu labda Kama utakaza kutorudiana nae
Wee fanya ujanja wako mkatie mtoto bima ya Afya tu.
Mengine akigoma we tulia kimya watafata tu matumizi hata ustawi watakufata.
Ila ndio ukiona mama mkwe Ana power mzee mpaka unakufa hutopata amani labda mkeo awe zimo kichwani sawa sawa ndo atatulia
 
Habari zenu wakuu,

Kuna jambo moja natak kushare na nyie, nilikuwa katika mahusiano na mwanamke mmoja tukafanikiwa kupata mtoto mmoja tuishi pamoja toka 2021 tumekuja kutengana mwez wa sita mwaka huu na sababu iliyofanya kutengana ni mke wangu kuanza kubadilika ana kiburi kupita kiasi, ameanz dharau sana ana jambo anavyoamua yeye in short kama vile anatak kunicontrol tukiwaita wazazi

Tuongelee wazazi wake kama vile wako upande wake, wanahisi mtoto wao anaonewa nikaona isiwe kesi tukaamua kila afate maisha yake, baada ya muda ya kama mwezi mmoja hivi nikawa najaribu kuwasilian naye ili me niwe naendelea kumlea mtoto wangu kama vile mahitaji ya mtoto. Lakin cha ajabu akawa hatk kupokea simu zangu kaniblock kila mahali nikasema frsh.

Baad ya yeye kukaa kimya kwa muda kuna siku akanitafuta turudishe mahusiano lakini me nikamwambia tulishatengan sabab niliona hajabalika chochot tabia ni zile zile.

Point yangu ni nn hapa, kila mimi nikimwambia tuweke utaratibu mzur wa kumlea huyo mtoto yye hatak kabisa, kabila lake ni Mpare me nataka niwe naendelea kumtunza mtoto wangu lakini mama yake hataki?

Anataka amlee mwenyew ili badae aje aseme ametelekezewa mtoto na mtoto wang nimehangaika nae kuanzia ana mwezi mmoja tumbon mpk kafikisha miaka miwili na nusu leo mama ake hataki nimlee mtoto wang naombeni ushauri wenu.
Kiislam huyo ni mtoto wa mama.

Sijuwi imani yenu.
 
Dunia ya leo ke wengi wanatumia watoto kama silaha ya kutuchapia sisi!

Ukijenga nyumba na mkeo na mna watoto kiburi humpanda na kutaka abaki na Mali na watoto wewe uende ukaanze upya!

Watoto hawana faida Tena kwa sisi me zaidi ya kurithi majina tu!

We tulia tu mkuu!akikua atakutafuta mwenyewe na mtapiga stori inatosha,punguza matarajio yoyote Kwa watoto ambao mliachana na mama zao!!

Mama zao huwajaza watoto wao ujinga wa kutosha ambao Huwa mwiba kwetu baadae!!

Jihesabu kama hujazaa vile!
 
Wewe tuliza akili, yatamshinda tu, atakutafuta kuomba msaada wa mtoto! Acha tu mtoto akikua atakutafuta mwenyewe!

Kingine? Dah, hunamove on, inshort bado unampenda huyo mwanamke ni vile tu ana kiburi akakuacha! Uchumi umekaa aje?
 
Kisheria mtoto bado mdogo hivyo ana hali ya kukaa na mama yake..

Kisheria una haki ya wewe kama baba mtoto wako anaishi wapi, anakula nini na mazingira anayoishi kama yako salama.

Una haki ya kuonana na mwanao katika utaratibu ambao hautaleta vikwazo kwenu wawili.

Una haki na wajibu wa kumhudumia mwanao pia.

Hivyo mueleze haya mzazi mwenzio.

Akitia kichwa ngumu mpeleke ustawi wa jamii mkayajengee huko.

All in all usiache kutuma muamala wa matumizi kila mwezi na risiti utunze.
 
Dunia ya leo ke wengi wanatumia watoto kama silaha ya kutuchapia sisi!

Ukijenga nyumba na mkeo na mna watoto kiburi humpanda na kutaka abaki na Mali na watoto wewe uende ukaanze upya!

Watoto hawana faida Tena kwa sisi me zaidi ya kurithi majina tu!

We tulia tu mkuu!akikua atakutafuta mwenyewe na mtapiga stori inatosha,punguza matarajio yoyote Kwa watoto ambao mliachana na mama zao!!

Mama zao huwajaza watoto wao ujinga wa kutosha ambao Huwa mwiba kwetu baadae!!

Jihesabu kama hujazaa vile!
Yaani umwache mwanao ukisubiri akue akutafute.

Sisi wanaume ni wabinafsi sana aisee,.

Kwanini asimpambanie mwanae, kugive up na kusubiri mtoto akue akutafute ni ubinafsi huo, yeye kwa sasa hana uwezo wa kumtafuta baba ila baba ana uwezo wa kumpata mtoto.

Kama mama yake anavyopambana kumhold ndivyo baba upambane kumpata.
 
Habari zenu wakuu,

Kuna jambo moja natak kushare na nyie, nilikuwa katika mahusiano na mwanamke mmoja tukafanikiwa kupata mtoto mmoja tuishi pamoja toka 2021 tumekuja kutengana mwez wa sita mwaka huu na sababu iliyofanya kutengana ni mke wangu kuanza kubadilika ana kiburi kupita kiasi, ameanz dharau sana ana jambo anavyoamua yeye in short kama vile anatak kunicontrol tukiwaita wazazi

Tuongelee wazazi wake kama vile wako upande wake, wanahisi mtoto wao anaonewa nikaona isiwe kesi tukaamua kila afate maisha yake, baada ya muda ya kama mwezi mmoja hivi nikawa najaribu kuwasilian naye ili me niwe naendelea kumlea mtoto wangu kama vile mahitaji ya mtoto. Lakin cha ajabu akawa hatk kupokea simu zangu kaniblock kila mahali nikasema frsh.

Baad ya yeye kukaa kimya kwa muda kuna siku akanitafuta turudishe mahusiano lakini me nikamwambia tulishatengan sabab niliona hajabalika chochot tabia ni zile zile.

Point yangu ni nn hapa, kila mimi nikimwambia tuweke utaratibu mzur wa kumlea huyo mtoto yye hatak kabisa, kabila lake ni Mpare me nataka niwe naendelea kumtunza mtoto wangu lakini mama yake hataki?

Anataka amlee mwenyew ili badae aje aseme ametelekezewa mtoto na mtoto wang nimehangaika nae kuanzia ana mwezi mmoja tumbon mpk kafikisha miaka miwili na nusu leo mama ake hataki nimlee mtoto wang naombeni ushauri wenu.
mkuu umejikita upande mmoja tu wa ke je wew unajua tatizo lako linalosababisha ukablokiwa kila pahala? Acha lawama nakushauli tafuta hela hakuna mwanamke anaemblok mwanaume anaejitambua na mwenye hela! toa kwanza boriti ndani ya jicho lako Acha lawama zisizo msingi.
 
Habari zenu wakuu,

Kuna jambo moja natak kushare na nyie, nilikuwa katika mahusiano na mwanamke mmoja tukafanikiwa kupata mtoto mmoja tuishi pamoja toka 2021 tumekuja kutengana mwez wa sita mwaka huu na sababu iliyofanya kutengana ni mke wangu kuanza kubadilika ana kiburi kupita kiasi, ameanz dharau sana ana jambo anavyoamua yeye in short kama vile anatak kunicontrol tukiwaita wazazi

Tuongelee wazazi wake kama vile wako upande wake, wanahisi mtoto wao anaonewa nikaona isiwe kesi tukaamua kila afate maisha yake, baada ya muda ya kama mwezi mmoja hivi nikawa najaribu kuwasilian naye ili me niwe naendelea kumlea mtoto wangu kama vile mahitaji ya mtoto. Lakin cha ajabu akawa hatk kupokea simu zangu kaniblock kila mahali nikasema frsh.

Baad ya yeye kukaa kimya kwa muda kuna siku akanitafuta turudishe mahusiano lakini me nikamwambia tulishatengan sabab niliona hajabalika chochot tabia ni zile zile.

Point yangu ni nn hapa, kila mimi nikimwambia tuweke utaratibu mzur wa kumlea huyo mtoto yye hatak kabisa, kabila lake ni Mpare me nataka niwe naendelea kumtunza mtoto wangu lakini mama yake hataki?

Anataka amlee mwenyew ili badae aje aseme ametelekezewa mtoto na mtoto wang nimehangaika nae kuanzia ana mwezi mmoja tumbon mpk kafikisha miaka miwili na nusu leo mama ake hataki nimlee mtoto wang naombeni ushauri wenu.
Pole sana. Swali muhimu: ulimuoa kwa ndoa, sogea tukae au mliishia kutambulishana tu?

Maana kama mpaka wazazi wake wanakaa upande wake maana yake wewe sio mume wake na huyo mtoto hata bahati mbaya ikitokea Mungu akampenda atazikwa kwa mama yake.

Point ni nini hapa, kama unataka kulea mtoto wako na analeta vikwazo. Peleka ustawi wa jamii au fungua zako acc. kwa jina la mtoto kwaajili ya mtoto ambayo unaweka tu deposits zako kila mwezi, yakifika mama akaolewa kwingine fanya namna akifika 18 mtafute umpatie mwambie hukumtelekeza ulimpenda sana maisha yaliwatenganisha (usitupie lawama kwa mama yake) mambo ya kufikirika eh? Lakini haya yapo
 
Pole sana. Swali muhimu: ulimuoa kwa ndoa, sogea tukae au mliishia kutambulishana tu?

Maana kama mpaka wazazi wake wanakaa upande wake maana yake wewe sio mume wake na huyo mtoto hata bahati mbaya ikitokea Mungu akampenda atazikwa kwa mama yake.

Point ni nini hapa, kama unataka kulea mtoto wako na analeta vikwazo. Peleka ustawi wa jamii au fungua zako acc. kwa jina la mtoto kwaajili ya mtoto ambayo unaweka tu deposits zako kila mwezi, yakifika mama akaolewa kwingine fanya namna akifika 18 mtafute umpatie mwambie hukumtelekeza ulimpenda sana maisha yaliwatenganisha (usitupie lawama kwa mama yake) mambo ya kufikirika eh? Lakini haya yapo
exactly
 
Habari zenu wakuu,

Kuna jambo moja natak kushare na nyie, nilikuwa katika mahusiano na mwanamke mmoja tukafanikiwa kupata mtoto mmoja tuishi pamoja toka 2021 tumekuja kutengana mwez wa sita mwaka huu na sababu iliyofanya kutengana ni mke wangu kuanza kubadilika ana kiburi kupita kiasi, ameanz dharau sana ana jambo anavyoamua yeye in short kama vile anatak kunicontrol tukiwaita wazazi

Tuongelee wazazi wake kama vile wako upande wake, wanahisi mtoto wao anaonewa nikaona isiwe kesi tukaamua kila afate maisha yake, baada ya muda ya kama mwezi mmoja hivi nikawa najaribu kuwasilian naye ili me niwe naendelea kumlea mtoto wangu kama vile mahitaji ya mtoto. Lakin cha ajabu akawa hatk kupokea simu zangu kaniblock kila mahali nikasema frsh.

Baad ya yeye kukaa kimya kwa muda kuna siku akanitafuta turudishe mahusiano lakini me nikamwambia tulishatengan sabab niliona hajabalika chochot tabia ni zile zile.

Point yangu ni nn hapa, kila mimi nikimwambia tuweke utaratibu mzur wa kumlea huyo mtoto yye hatak kabisa, kabila lake ni Mpare me nataka niwe naendelea kumtunza mtoto wangu lakini mama yake hataki?

Anataka amlee mwenyew ili badae aje aseme ametelekezewa mtoto na mtoto wang nimehangaika nae kuanzia ana mwezi mmoja tumbon mpk kafikisha miaka miwili na nusu leo mama ake hataki nimlee mtoto wang naombeni ushauri wenu.
Mimi kila wakati nawaambiaga, wapare ni kabila la ovyo duniani, siyo wanawake siyo wanaume, hawafai hata kidogo.
 
Wewe tuliza akili, yatamshinda tu, atakutafuta kuomba msaada wa mtoto! Acha tu mtoto akikua atakutafuta mwenyewe!

Kingine? Dah, hunamove on, inshort bado unampenda huyo mwanamke ni vile tu ana kiburi akakuacha! Uchumi umekaa aje?
Kuna some sort of attachment unakuwa nayo kwa mwanamke ulie ishi nae kama mke na mume. Haswa mtoto anapokuwa involved mambo yanakuwa magumu

Ku move on inachukua time na kazi, ni possible but si easy
 
Habari zenu wakuu,

Kuna jambo moja natak kushare na nyie, nilikuwa katika mahusiano na mwanamke mmoja tukafanikiwa kupata mtoto mmoja tuishi pamoja toka 2021 tumekuja kutengana mwez wa sita mwaka huu na sababu iliyofanya kutengana ni mke wangu kuanza kubadilika ana kiburi kupita kiasi, ameanz dharau sana ana jambo anavyoamua yeye in short kama vile anatak kunicontrol tukiwaita wazazi

Tuongelee wazazi wake kama vile wako upande wake, wanahisi mtoto wao anaonewa nikaona isiwe kesi tukaamua kila afate maisha yake, baada ya muda ya kama mwezi mmoja hivi nikawa najaribu kuwasilian naye ili me niwe naendelea kumlea mtoto wangu kama vile mahitaji ya mtoto. Lakin cha ajabu akawa hatk kupokea simu zangu kaniblock kila mahali nikasema frsh.

Baad ya yeye kukaa kimya kwa muda kuna siku akanitafuta turudishe mahusiano lakini me nikamwambia tulishatengan sabab niliona hajabalika chochot tabia ni zile zile.

Point yangu ni nn hapa, kila mimi nikimwambia tuweke utaratibu mzur wa kumlea huyo mtoto yye hatak kabisa, kabila lake ni Mpare me nataka niwe naendelea kumtunza mtoto wangu lakini mama yake hataki?

Anataka amlee mwenyew ili badae aje aseme ametelekezewa mtoto na mtoto wang nimehangaika nae kuanzia ana mwezi mmoja tumbon mpk kafikisha miaka miwili na nusu leo mama ake hataki nimlee mtoto wang naombeni ushauri wenu.
Je, unajua ni kwa nini hasa huyo Mwanamke hataki wewe umhudumie huyo mtoto wake? Sababu za yeye kufanya hivyo unazijua?? Fanya utafiti kwanza juu ya suala hili.

Aidha, siku hizi Kesi za Paternity Fraud (akina baba kubambikiziwa watoto wasiokuwa wao kiuhalisia) ni nyingi Sana, hivyo uchukue tahadhari mapema kuhusu suala hili pia. If possible, make sure that you undergo a DNA Test to confirm your paternity to that child. Yawezekana huenda huyo Mwanamke tayari ameshagundua jambo fulani kuhusu suala lako wewe binafsi kuhusika na ubaba-mzazi wa huyo mtoto wake, hivyo, anachukua hatua za tahadhari mapema ya kutokukuhusisha na gharama za malezi ya huyo mtoto kiasi kwamba hata utakapokuja kugundua kuwa wewe ni baba mlezi tu Basi isikuletee maumivu makali Sana hapo baadaye, maumivu ambayo yanaweza kusababisha maafa kwa huyo mwanamke na mtoto wake.

Kumbuka: Visa vya mauaji kwa wanawake na watoto wao vitokanavyo na janga hili la Paternity Fraud ni vingi Sana siku hizi, siyo kwa hapa Tanzania tu peke yake, Bali ni kwa dunia yote kabisa kwa ujumla wake. Tafakari na Chukua Hatua mapema!
 
Dunia ya leo ke wengi wanatumia watoto kama silaha ya kutuchapia sisi!

Ukijenga nyumba na mkeo na mna watoto kiburi humpanda na kutaka abaki na Mali na watoto wewe uende ukaanze upya!

Watoto hawana faida Tena kwa sisi me zaidi ya kurithi majina tu!

We tulia tu mkuu!akikua atakutafuta mwenyewe na mtapiga stori inatosha,punguza matarajio yoyote Kwa watoto ambao mliachana na mama zao!!

Mama zao huwajaza watoto wao ujinga wa kutosha ambao Huwa mwiba kwetu baadae!!

Jihesabu kama hujazaa vile!
NAKAZIA 📌🔨
 
Back
Top Bottom