Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

Tumeachana rasmi kwa kuwa mimi si Mchaga

ni kweli hawa wachaga wabaguzi sana niliwahi kuwa na mahusiano na dada wakichanga hadi kufikia hatua ya kutaka kuoa ila mama yake alikataa kata kata mtoto wake asiolewe na mkurya. mahusiano yetu yalidumu kwa muda wa miaka mitatu. niliamua na mm kwenda musoma kutafuta mkurya mwenzangu mpaka sasa maisha yanaenda vzr na tuna watoto yule binti wa kichaga mpaka sasa hajaolewa... anatamani awe mchepuko wangu.
Na nyie kwa tabia ya kupiga mwenyewe nisingeruhusu mwanangu Bora awe single tu,na Bora ulioa kwenu ndoa kuvunjika ngumu sana
 
Yawezekana yapo ila Mimi binafsi wakurya hapana kwa kweli
Wakurya niliowahi kuishi nao hapana kwa kweli [emoji23]

Na mwanao akiketea mkurya je utakubali?
Jibu likiwa no hiyo ndio sababu tunaona mambo kama haya ya mleta mada yanaendelea kutokea.

Huoi/huolewi na kabila bali ni mtu tu kutoka kabila husika.
 
Na mwanao akiketea mkurya je utakubali?
Jibu likiwa no hiyo ndio sababu tunaona mambo kama haya ya mleta mada yanaendelea kutokea.

Huoi/huolewi na kabila bali ni mtu tu kutoka kabila husika.
Aiseee
Wakurya hawafai

Akimleta shauri zake.Mimi siwezi kunzuia
 
Wewe umekutana na wanawake of your own caliber..

Huwezi kua mtu C ukutane na mwanamke A...

Hao wote ni size yako wewe kwa jinsi ulivyo...

Makabila yote yana wanawake wazuri sana na wabaya sana.....

Upo devastated na kuachwa na wanawake bora maana wewe ni mtu C.....wasichana wa grade A huwezi wapata maana wewe ni C,hapo hakuna ukabila ni class issue...

Hata ukienda kwenye kabila lenu bado wasichana wa grade A hupati,na wao utawaita wakabila?

Infact ni class issue hapa....

Unaumia roho with these people for nothing,oa kwenu,oa level yako,acha malalamiko!
Mjomba una king'ang'anizi sijapata kuona....hongera bana kwa kuwatetea dada zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwakweli...Tuache kununua maduka yao..wakafungue maduka yao kwao huko...WANATAKIWA watengwe... Haiwezekani wakadharau makabila mengine...wakati wamejaa Mikoa ya Watu wakifungua maduka na tunawaungisha..

.Tena HUWA wanakuwa na umoja na kuwaibia wafanyabishara wale ambao Ni competitors wao...na kuwafanyia fitna wasipate mafanikio.

Wachaga watengwe.... Maduka yako tusinunue na biashara zao tusiwape support...
Maana wanajiona kuwa wako Bora kuliko Watu wengine..
.
Kumbe unalijua hili wanakuja kukuvamia ama wanamwambia MTU wa TRA unakuja kufilisiwa. Na wanaumiaga sana unapowazidi. Eti ukifanya kitu kizuri wanakuuliza kuwa wewe ni wa kwao. Yaani wameathiriwa kuwa wao ndo bora sana hapa duniani
 
Back
Top Bottom