Na nyie kwa tabia ya kupiga mwenyewe nisingeruhusu mwanangu Bora awe single tu,na Bora ulioa kwenu ndoa kuvunjika ngumu sanani kweli hawa wachaga wabaguzi sana niliwahi kuwa na mahusiano na dada wakichanga hadi kufikia hatua ya kutaka kuoa ila mama yake alikataa kata kata mtoto wake asiolewe na mkurya. mahusiano yetu yalidumu kwa muda wa miaka mitatu. niliamua na mm kwenda musoma kutafuta mkurya mwenzangu mpaka sasa maisha yanaenda vzr na tuna watoto yule binti wa kichaga mpaka sasa hajaolewa... anatamani awe mchepuko wangu.
Mkurya!?!
Kwa jinsi mnavyojua kupiga Hata ningekuwa Mimi ni huyo mama nisingekubali[emoji1787](kidding)
Wee sio kwa wakuryaSio wote wapo hivyo, nowdays jamii nyingi zimebadilika kutokana na elimu, imewakomboa wengi sana na utumwa wa asili ya makabila.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanachunguzana maini
Nimekwambia leta,,huna hoja una bwabwaja tu Kama kuku mwenye kideri ...na naomba pls usiniite kyasaka...hayo majina itaneni ninyi kwa ninyi washirikina
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee sio kwa wakurya
Yawezekana yapo ila Mimi binafsi wakurya hapana kwa kweliTrust me mtukufu mambo hayawezi kubadilika jumla lakini mabadiliko yapo tena makubwa sana.
Yawezekana yapo ila Mimi binafsi wakurya hapana kwa kweli
Wakurya niliowahi kuishi nao hapana kwa kweli [emoji23]
Mkuu usiwe na hofu Wajaluo na Wakurya wote ni wakarimu sana hawana shida kabisaa,nami natokea kati ya hizo kabila tajwa hapo. Tarime moja hiyo!
AiseeeNa mwanao akiketea mkurya je utakubali?
Jibu likiwa no hiyo ndio sababu tunaona mambo kama haya ya mleta mada yanaendelea kutokea.
Huoi/huolewi na kabila bali ni mtu tu kutoka kabila husika.
Wachaga hatuna ubaguzi.
Mjomba una king'ang'anizi sijapata kuona....hongera bana kwa kuwatetea dada zakoWewe umekutana na wanawake of your own caliber..
Huwezi kua mtu C ukutane na mwanamke A...
Hao wote ni size yako wewe kwa jinsi ulivyo...
Makabila yote yana wanawake wazuri sana na wabaya sana.....
Upo devastated na kuachwa na wanawake bora maana wewe ni mtu C.....wasichana wa grade A huwezi wapata maana wewe ni C,hapo hakuna ukabila ni class issue...
Hata ukienda kwenye kabila lenu bado wasichana wa grade A hupati,na wao utawaita wakabila?
Infact ni class issue hapa....
Unaumia roho with these people for nothing,oa kwenu,oa level yako,acha malalamiko!
Kasema wewe ni panya buku,yani kipoporu
Wala hata sio hivyo mkuu...Mjomba una king'ang'anizi sijapata kuona....hongera bana kwa kuwatetea dada zako
Sent using Jamii Forums mobile app
But una hasira nao
asante sana.
Kumbe unalijua hili wanakuja kukuvamia ama wanamwambia MTU wa TRA unakuja kufilisiwa. Na wanaumiaga sana unapowazidi. Eti ukifanya kitu kizuri wanakuuliza kuwa wewe ni wa kwao. Yaani wameathiriwa kuwa wao ndo bora sana hapa dunianiKwakweli...Tuache kununua maduka yao..wakafungue maduka yao kwao huko...WANATAKIWA watengwe... Haiwezekani wakadharau makabila mengine...wakati wamejaa Mikoa ya Watu wakifungua maduka na tunawaungisha..
.Tena HUWA wanakuwa na umoja na kuwaibia wafanyabishara wale ambao Ni competitors wao...na kuwafanyia fitna wasipate mafanikio.
Wachaga watengwe.... Maduka yako tusinunue na biashara zao tusiwape support...
Maana wanajiona kuwa wako Bora kuliko Watu wengine..
.