Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
hicho kitendo si unyanyasaji wa kingono? mtoto wa miaka 9 uke unaweza kubeba uume wa mtu wa miaka 25? je , Mwanao wa miaka 9 akitolewa mahari na Hasheem dhabit -utaruhusu afanywe mapenzi?Aisha alikua na miaka 6 lakini aliamza kulala nae kama mke akiwa na miaka 9.
Hadija alikua na miaka 40 pindi anaolewa na mtume ambaye alikua na miaka 25 .
Kuhusu kupita na mke wa jamaa alipomtembelea sijui ingawa alimuoa mke wa zayd lakini baada ya kuachwa na zayd
DuhSio ngamia tena..?hao farasi na jangwa wapi na wapi..wafia dini hata logic tu ndogo hamna.
#MaendeleoHayanaChama
👉Je, Mtume alisema siku ya kiyama tutapewa mabikira 70?Sijaona kejeli yoyote kwenye maswali yaliyoulizwa.kwasababu mambo mengi ni story ambazo ziko uko mitaani sasa kama kuna mtu kajitolea kujibu maswali kwanini asiulizwe.na majibu ni simple tu.kua kama unajua jibu la swali unalijibu kama ulijui unasema sijui na kama unaona ni swali la kipuuzi unajibu tu simple kua hakuna hicho kitu.tusipende sana kucomplicate mambo ya dini wakati zimekuja tu na tutaziacha kama waliozianzisha walivyoziacha.
Kama hataki ufafanuzi wangu basi usitarajie kama atakuelewaNeno muuaji kwa tafsiri IPI?
Kwanini mnaadhimisha Maulidi (Mazazi) ya Mtume ?Yeye (Muhammad Ibn Abdullah) alizaliwa katika nyumba ya ami yake, Abu Talib, katika “mtaa wa Bani Hashim” huko Makka, tarehe 12 Rabil-awal ya ule Mwaka wa Tembo, tarehe ambayo inaoana na tarehe 8 Juni 570.
Mama yake na mtume Muhammad (s.a.w), Bi Amina, alituma habari za uzazi huu wa kheri kwa babu yake na Muhammad, Mzee Abdul Muttalib, ambaye alikuja, akamchukuwa mikononi mwake, na akampa jina hili la Muhammad.” Lenye maana ya MSIFIWA.
Nawakaribisha kuuliza maswali kuhusu mtume wetu huyu MUHAMMAD "amani na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake".
View attachment 1975182
Wewe hizi habari umezipata wapi ?Eti ni kweli alipaa angani na mnyama aitwaye "buraq" ambaye anamuonekano wa farasi jamii ya punda ila yeye ana kichwa cha mwanamke?
Tukio hilo liliwahi kutokea kweli au ni masimulizi tu kunogesha stori?
Ndio ni kweli, kwasababu inasema "Na wewe hukusoma kabla ya utume kitabu chochote, wala hukuandika kitabu chochote kwa mikono yako mwenyewe, la sivyo wasomi wangekuwa na sababu ya shaka." Kwa hivyo ni wazi kama Mwenyezi Mungu anatuarifu hapa kwamba Mtume (saw) hakuweza kusoma wala kuandika. Hii ni miujiza kwa mtume wetu.Je ni kweli mtume alikuwa hajui kusoma na kuandika?Na vp kuhusu kupokea aya za kishwetan!??
Masimulizi ya kunogesha stori yana sifa gani na unayatofautisha vipi na masimulizi yasiyo ya kunogesha stori ?Tukio hilo liliwahi kutokea kweli au ni masimulizi tu kunogesha stori?
Je ni kweli mtume alizaliwa tarehe 12 ? Ushahidi wa hili uko wapi ? Je vipi kuhusu tarehe 8 ?Yeye (Muhammad Ibn Abdullah) alizaliwa katika nyumba ya ami yake, Abu Talib, katika “mtaa wa Bani Hashim” huko Makka, tarehe 12 Rabil-awal ya ule Mwaka wa Tembo, tarehe ambayo inaoana na tarehe 8 Juni 570.
Sio mjinga uwelewa wake ni mdogoAlokwambia jangwan vipandwa vinatumika ni ngamia pekee nani? Hata sasa ukiangalia ni bara gan lenye matumiz makubwa ya farasi utakuta ni lipi jinga weye
praise allahMgawanyiko wa mwezi ni muujiza wa kweli katika mila ya Waislamu inayohusishwa na nabii wa wetu Muhammad. Kisa hicho kimeelezwa kwenye Qur'an 54: 1-2, Maswahaba pia walisema ''Tulikuwa pamoja na Mjumbe wa Mungu huko mlima wa Mina, mwezi huo uligawanyika mara mbili. Sehemu moja yake ilikuwa nyuma ya mlima na ile nyingine ilikuwa upande huu wa mlima.''
Mama Khadija alikuwa mkubwa kumzidi Mtume kwa miaka mitatu. Yaani 25 kwa 28.Kwa nini alioa binti mdogo khadja?
Je, hii ni sawa?
Kama yale ambayo yameelezwa kwenye dini tofauti na yako na hukubaliani nayo kua yana uhalisiaMasimulizi ya kunogesha stori yana sifa gani na unayatofautisha vipi na masimulizi yasiyo ya kunogesha stori ?
Lengo la maswali haya ili ujibiwe maswali yako vizuri na usije kurudia tena maswali ambayo utakuwa umejibiwa.
tayari nisha jibiwa, nenda kamuulize aliyejibu kazielewajeWewe hizi habari umezipata wapi ?
Yapi hayo ?Kama yale ambayo yameelezwa kwenye dini tofauti na yako na hukubaliani nayo kua yana uhalisia
Hujajibu swali nililo kuuliza. Jibu lake nimeliona.tayari nisha jibiwa, nenda kamuulize aliyejibu kazielewaje
mangapi ambayo hukubaliani na uhalisia wake kutoka dini tofauti na yako?Yapi hayo ?
Hakuwa shia wala sunniMohammed alikua SHIA au SUNNI?