BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 600
- 1,843
- Thread starter
-
- #141
Ahsante ndugu, tupatie mtazamo wako wa elimu na mafundisho yako yanasemaje ili watu wapate kufahamu ukweliTumepigwaaaaaa
Nasemaje tumepigwaaaaaaaa!
Sheikh wangu hapa umenipiga kamba kubali ukatae!
Kwa sasa sina ila ntakutafutiaTupatie hayo maandiko ya hadithi, usijali tunaelimishana
Ahsante kwa Bahati mbaya mimi sijapata fursa ya kuipekua Biblia, hivyo siwezi kusemea upande nisiokuwa na elimu nao.Kwa sasa sina ila ntakutafutia
Ukristo umeanza miaka.mamia kabla ya uislam inakuwaje maandiko ya Biblia yanashabihiana na Qur'an? Je wana wa Israel ni waislam? Kama ndio mbona mnawachukia?
Okay, wana wa Israel waliotolewa Misri na Musa walikuwa waislam? Ni uzao wa Yakobo au Ismael?Ahsante kwa Bahati mbaya mimi sijapata fursa ya kuipekua Biblia, hivyo siwezi kusemea upande nisiokuwa na elimu nao.
Tareh 8/6 kwa calendar ya kizungu ,kama alizaliwa tarehe 8/6 mbona siku ya kuzaliwa inaadhimishwa mwezi wa 10
Chief, sina jaziba ila huyu mwamba huyu,basi tu!!.Hahaha ila wewe akili zako bana, punguza kwanza jazba kiongozi
Muhammad (s.a.w) alipigana vita 27 na aliua mtu mmoja tu kwa mikono yakeChief, sina jaziba ila huyu mwamba huyu,basi tu!!.
Huyo zaid bin harith hakuwa mwanae wa kumzaa ni mtoto wa kumlea tu...na hakufanya chochote bwana mtume ispokuwa ilikuwa ni [wahyi] ujumbe na maelekezo kutoka kwa allah.Aisha alikua na miaka 6 lakini aliamza kulala nae kama mke akiwa na miaka 9.
Hadija alikua na miaka 40 pindi anaolewa na mtume ambaye alikua na miaka 25 .
Kuhusu kupita na mke wa jamaa alipomtembelea sijui ingawa alimuoa mke wa zayd lakini baada ya kuachwa na zayd
unawaambia nini wanaokataa kuwa Muhammad si muuaji?.Muhammad (s.a.w) alipigana vita 27 na aliua mtu mmoja tu kwa mikono yake
Yah kabla ya kupewa utume hakujua kusoma wala kuandika ,Baadae alifundishwa kupitia Malaika Jibrilu ndipo akapewa utume Qur :94Je ni kweli mtume alikuwa hajui kusoma na kuandika?Na vp kuhusu kupokea aya za kishwetan!??
Kumbuka hapo ni vitani ,inapobidi kufanya hivyo utafanya kujinusuru weweunawaambia nini wanaokataa kuwa Muhammad si muuaji?.
Allahumma AminUzi mzuri sana spesho kwa bwana mtu swala llahu alayh wasallam...khairul anbiyaai walmursaliina wa khaataman nabiyyina.
Shukrani sana sheikh hapo unatembea na siratunabiyyina....umenikumbusha mbali sana allah atuongoze insha Allah.
Hapana, baba yake mtume alikufa kabla hata mtume hajazaliwaNi kweli mtume alilaniwa na Babaye?
mimi sijakuuliza ikiwa aliua mtu akiwa harusini ama vitani.Kumbuka hapo ni vitani ,inapobidi kufanya hivyo utafanya kujinusuru wewe
Wafia dini bhna.siku ya kuzaliwa yesu sio realistic maana haijaandikwa popote ni kundi flani liliamua kuitenga tar 25/12 ,wangeweza kuitenga siku yoyote ile ila ya muhamad ni real
Uongo..mwanamke wa miaka 40 kuzaa watoto sita..menopause yeye ilikua hammhusu ama?Ahsante ndugu,
Khadija binti Khuwaylid alikuwa mke wa kwanza na mfuasi wa kwanza wa nabii wa Kiislam Muhammad. Khadija alikuwa binti wa Khuwaylid ibn Asad, kiongozi wa kabila la Quraishi huko Makka, na mwanamke mfanyabiashara aliyefanikiwa kwa haki yake mwenyewe.
Khadija mara nyingi hujulikana na Waislamu kama "Mama wa Waumini". Yeye ni mmoja wa watu muhimu zaidi wa kike katika Uislamu.] Muhammad s.a.w alipofikisha miaka 25 ndio alimuoa Bi Khadija naye kwa mke mmoja kwa miaka 25, wakati huo Bi Khadija alikuwa na umri wa miaka 40. Na walizaa watoto sita akiwemo Qasim ibn Muhammad, Abdullah ibn Muhammad, Umm Kulthum, Ruqayyah, Zaynab, na Faṭmah.