Nimejaribu kupitia kumjua huyu ndugu kwa haraka haraka nimeona ni very interesting. However, nikajaribu kuangalia taarifa zake tunazijuaje? Nikakutana na hii statement Wikipedia.
"Much of the information about Sulaym comes from Shia Muslim tradition.[8] According to modern historian Mokhtar Djebeli, "the very existence of this man, and his work, should be regarded with caution, since apart from Ibn al-Nadim ... only a few Shi'is mention him, and then only in a very terse and laconic fashion".[8] "
Nimeangalia Ibn al Nadim qliishi karne ya 10. Miaka 300 na baada ya Uislam na Muhammad. Kaa hiyo vado sio chanzo cha kuaminika kihistoria. Ni kama tu ambavyo Ibn Ishaq anasemekana kuandika Sira ila hatuna taarifa zake ispokuwa kile alichosema Ibn Hisham. Na Ibn Hisham ni mwandishi aliyekuja baadaye sana.
Kama una kitabu kingine au una hoja kinyume na hiyo hapo, kwamba maandiko ya huyu ndugu ni sahih na yaliandikwa karne ya saba, nakusikiliza
Link ya WP hii hapa:
Sulaym ibn Qays - Wikipedia