Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

Yeye (Muhammad Ibn Abdullah) alizaliwa katika nyumba ya ami yake, Abu Talib, katika “mtaa wa Bani Hashim” huko Makka, tarehe 12 Rabil-awal ya ule Mwaka wa Tembo, tarehe ambayo inaoana na tarehe 8 Juni 570.

Mama yake na mtume Muhammad (s.a.w), Bi Amina, alituma habari za uzazi huu wa kheri kwa babu yake na Muhammad, Mzee Abdul Muttalib, ambaye alikuja, akamchukuwa mikononi mwake, na akampa jina hili la Muhammad.” Lenye maana ya MSIFIWA.

Nawakaribisha kuuliza maswali kuhusu mtume wetu huyu MUHAMMAD "amani na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake".

View attachment 1975182
Haifai kusherekea maulidi ni bida yaani uzushi na atakaefanya hivo ni motoni
 
Nimejaribu kupitia kumjua huyu ndugu kwa haraka haraka nimeona ni very interesting. However, nikajaribu kuangalia taarifa zake tunazijuaje? Nikakutana na hii statement Wikipedia.

"Much of the information about Sulaym comes from Shia Muslim tradition.[8] According to modern historian Mokhtar Djebeli, "the very existence of this man, and his work, should be regarded with caution, since apart from Ibn al-Nadim ... only a few Shi'is mention him, and then only in a very terse and laconic fashion".[8] "

Nimeangalia Ibn al Nadim qliishi karne ya 10. Miaka 300 na baada ya Uislam na Muhammad. Kaa hiyo vado sio chanzo cha kuaminika kihistoria. Ni kama tu ambavyo Ibn Ishaq anasemekana kuandika Sira ila hatuna taarifa zake ispokuwa kile alichosema Ibn Hisham. Na Ibn Hisham ni mwandishi aliyekuja baadaye sana.

Kama una kitabu kingine au una hoja kinyume na hiyo hapo, kwamba maandiko ya huyu ndugu ni sahih na yaliandikwa karne ya saba, nakusikiliza

Link ya WP hii hapa: Sulaym ibn Qays - Wikipedia
Ahsante ndugu, sifahamu unasomea wapi kama ni mtandaoni au umekipata kitabu chake kabisa, basi tafuta kitabu cha swahaba wa Mtume anayeitwa Ibn Abbas, alikuwa mmoja wa maswahaba wa Nabii Muhammad na anachukuliwa kuwa mufassir mkubwa zaidi wa Qur'ani. (619– 687)
 
Ahsante kwa kutoa hukumu ya moto, Allah akufanyie wepesi uipate kuiyona pepo yake.
Unajua vitu hivi haviitaji hasira wala kupaniki kama una dalili yaani ushahidi wa ayaati au hadithi au maneno ya mwanachuoni au kama kuna mwanachuoni kandika kitabu tuoneshe hatutaki maneno yako
 
We una dalili inayodhibitisha watu kusherekea maulidi au unaona watu wanafanya na wewe unafanya
Ungeliluliza hilo swali kabla ya kuharamisha na kutoa hukumu ya moto ningekujibia, kisha nawe ukaleta hoja. Lakini kwakuwa tayari umeshatoa fat'wa na umeshatoa hukumu ya moto. Hoja zangu wala dalili hazitakusaidia chochote. Inahitaji akili iliyofunguka na kuwa wazi kuelewa mambo nasio kutanguliza hasira na jazba.
 
Unajua vitu hivi haviitaji hasira wala hasira jama una dalili toa
Ahsante, kiutaratabi wa elimu, na hukumu kila jambo ni halali hadi pale litakapo haramishwa, sasa katika utaratibu wa hekima ni kwamba mpingaji wa mauwlid ndio anatakiwa kutoa dalili kwamba jambo hilo halifai kwa ushaidi huu na huu.
 
Ahsante, kiutaratabi wa elimu, na hukumu kila jambo ni halali hadi pale litakapo haramishwa, sasa katika utaratibu wa hekima ni kwamba mpingaji wa mauwlid ndio anatakiwa kutoa dalili kwamba jambo hilo halifai kwa ushaidi huu na huu.
Ni sawa kabisa jambo lolote katika ulimwengu huu ni haramu mpaka itakapokuja ayaati au hadithi mimi sasa nasema maulidi ni haramu leta sasa ayati au hadihi ambayo imekuja kuharalisha
Maulidi
 
Ungeliluliza hilo swali kabla ya kuharamisha na kutoa hukumu ya moto ningekujibia, kisha nawe ukaleta hoja. Lakini kwakuwa tayari umeshatoa fat'wa na umeshatoa hukumu ya moto. Hoja zangu wala dalili hazitakusaidia chochote. Inahitaji akili iliyofunguka na kuwa wazi kuelewa mambo nasio kutanguliza hasira na jazba.
Wewe ndo unajaziba wala si mimi kwa sababu hadithi zipo na ayaati zipo ambazo zinadhibitisha yeyote atakaezusha jambi lolote katika dini ya allah makazi yake ni motoni mimi nanukuu vitabu su maneno yangu binafsi
 
Hapana sio kweli, huo ni uwongo wenye kumdhihaki mtume, hakuna hadithi wala chanzo chochote cha kuaminika kunako habari hiyo. Ikiwa hata leo unavutiwa kusoma kwa moyo wazi wasifu wake na usiamini upotoshaji huo, hakuna chochote hasi cha nabii wetu utacho kutana nacho. Alikuwa ni mwenye tabia safi kabisa.
Sahihi Al Bukhari 2442 book 54
...They said to her, “Speak to him until he speaks to you.” He(The prophet) went around to her and she spoke to him. He said to her, “Do not injure me regarding 'A'isha. The revelation does not come to me when I am in the GARMENT of any woman except 'A'isha.”
 
Kwanini mtume alimpiga mate mwanaume mwenzake?
related that Abu Hurayra said, "I never saw al-Hasan without my eyes overflowing with tears. That is because the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, went out one day and he found me in the mosque. He took my hand and I went along with him. He did not speak to me until we reached the market of Banu Qaynuqa'. He walked around it and looked. Then he left and I left with him until we reached the mosque. He sat down and wrapped himself in his garment. Then he said, 'Where is the little one? Call the little one to me.' Hasan came running and jumped into his lap. Then he put his hand in his beard. Then the Prophet, may Allah bless him and grant him peace, opened his mouth and put his Mouth In His Mouth. Then he said, O Allah, I love him, so love him and the one who loves him!'"
 
wanasema sababu ya waislam kutokula kitimoto (nguruwe) japo wengine wanakula kwa kuvizia. Wanasema kwamba walimzika Muhhamad wakamuacha mkono unanin'ginia nje ili afufuke, nguruwe akapita nao.

i.) Je ni kweli?

ii.) Nipe sababu za waislam kula nguruwe (kitimoto) kwa kuvizia au kutokula kabisa.

Mimi ni mkristo. Kwenye Biblia inaongelea yale Mungu ameita naajisi. Nguruwe haruhusiwi kuliwa na mkristo.
Ubaya ni kwamba dini zetu zimeharibiwa na wazungu ambao wamkuja a kuweka mitazamo yao binfasi katika kwenda tofauti na Mwenye enzi zote: hadi leo mimi naona waislam wanafanya mengi mazuri na taratibu zao zinampendenza Mungu kuliko sisi wakristo. Tatizo la waislam ni moja, hawaamini kuwa Mtume wa Mwenyenzi Mungu- Yesu kuwa ni Mungu, na mtume wa mwenyenzi Mungu.

Yesu tunasema ni Mungu sababu aliitwa Emmanuel yaani Mungu ndani yetu. Mungu alishuka kupitia Mariam, akazaliwa ila bado Mwenyenzi Mungu alibaki kwenye enzi zake. Mungu yupo kwenye vitu vitatu na ndio maana yupo kila sehemu, roho, nafsi na mwili. Mungu wetu yupo kila pahali.
Hivyo, waislam ni ndugu zetu. Tunatofautiana kwenye tafsiri... tu ya kile Mungu amekusudia juu ya wanadamu.
Lakini, waislam mpaka sasa hivi ndio pekee wamehifadhi ile fatwa, uhalisia wa kile Mungu anasema. Kama nafasi ya mwanamke katika jamii, kusali, kuheshimu pahala patakatifu nk.

Biblia imekataza nguruwe na ngamia. Wakati wao waislam ngamia kwao ni halal wakati vyote hivi ni haram.

Tumtukuze Mungu aliye hai.
 
Ahsante ndugu, sifahamu unasomea wapi kama ni mtandaoni au umekipata kitabu chake kabisa, basi tafuta kitabu cha swahaba wa Mtume anayeitwa Ibn Abbas, alikuwa mmoja wa maswahaba wa Nabii Muhammad na anachukuliwa kuwa mufassir mkubwa zaidi wa Qur'ani. (619– 687)
Niweka link. Hivi vitabu sina tatizo vipo. Ila unakuta kitabu kinasema kimeandikwa karne ya mwanzoni (mf. Ibn Ishaq) lakini ukija kwa mwandishi halisi ameandika miaka mingi baadaye (Ibn Hisham). Kwa hiyo kwa sababu hatuna taarifa za alichokiandika mhusika (Ibn Ishaq) tunalazimika kuamini anachosema wa sasa (Ibn Hisham) kuhusu alichokiandika wa mwanzo (Ibn Ishaq).

Tatizo hilo pia lipo kwenye hicho kitabu ulichonisaidiq hapo juu. Na ni tatizo nimekutana nalo pia kwenye Quran na hadith.

Mfano, kuna hadith zinaongelea kuhusu watu kama Ibn Masoud, Khalif Abu Bakr, Zayid Ibn thabit.

Lakini anayeandika ni Al Bukhari. Sasa al Bukhari anaandika kuhusu Ibn Masoud aliyeishi karne ya saba ilhali yeye Bukhari ameishi karne ya tisa, karibu miaka 200 baadaye.

Natamani kupata maandiko ya kihistoria yaliyoandikwa kuhusu Uislam, karne ya saba. Na aliyeyaandika awe ameishi karne hiyo hiyo ya 7.

Sina hakika kama sielezi sawa sawa ninachokitafuta au vipi. Lakini nataka kuuelewa uislam toka kwa mtu aliyeishi karne qmbayo ulianza na akaandika karne hiyo.

Kama tuna maandiko ya karne ya kwanza, nina hakika kutakuwepo na yale ya karne ya saba.
 
Kila siku tunaimba peace be upon him...swali langu Je! huko alipo yupo in peace?
Namaanisha, mfano wakristo wanaamini Yesu alipaa mbinguni Je waislam wanaamini muhamad yupo wapi saivi?
prophet Muhammad (peace be upon Him)
 
Niweka link. Hivi vitabu sina tatizo vipo. Ila unakuta kitabu kinasema kimeandikwa karne ya mwanzoni (mf. Ibn Ishaq) lakini ukija kwa mwandishi halisi ameandika miaka mingi baadaye (Ibn Hisham). Kwa hiyo kwa sababu hatuna taarifa za alichokiandika mhusika (Ibn Ishaq) tunalazimika kuamini anachosema wa sasa (Ibn Hisham) kuhusu alichokiandika wa mwanzo (Ibn Ishaq).

Tatizo hilo pia lipo kwenye hicho kitabu ulichonisaidiq hapo juu. Na ni tatizo nimekutana nalo pia kwenye Quran na hadith.

Mfano, kuna hadith zinaongelea kuhusu watu kama Ibn Masoud, Khalif Abu Bakr, Zayid Ibn thabit.

Lakini anayeandika ni Al Bukhari. Sasa al Bukhari anaandika kuhusu Ibn Masoud aliyeishi karne ya saba ilhali yeye Bukhari ameishi karne ya tisa, karibu miaka 200 baadaye.

Natamani kupata maandiko ya kihistoria yaliyoandikwa kuhusu Uislam, karne ya saba. Na aliyeyaandika awe ameishi karne hiyo hiyo ya 7.

Sina hakika kama sielezi sawa sawa ninachokitafuta au vipi. Lakini nataka kuuelewa uislam toka kwa mtu aliyeishi karne qmbayo ulianza na akaandika karne hiyo.

Kama tuna maandiko ya karne ya kwanza, nina hakika kutakuwepo na yale ya karne ya saba.
Mkuu Uislam ulianza karne ya Tisa baada ya Abbasid empire kuanza kukua kiuchumi Na kutanuka kimipaka...ili kujitofautisha Na warumi wakatunga story Kuwa miaka 200 iliyopita walikuwa Na mtume na Quran nk.

Lakini most historic evidence points that Uislam ulianza Karne ya tisa
 
Mkuu Uislam ulianza karne ya Tisa baada ya Abbasid empire kuanza kukua kiuchumi Na kutanuka kimipaka...ili kujitofautisha Na warumi wakatunga story Kuwa miaka 200 iliyopita walikuwa Na mtume na Quran nk.

Lakini most historic evidence points that Uislam ulianza Karne ya tisa
Well ni hypothesis pia ambayo ipo. Kwa sasa nipo after evidence kwanza. Nikiisha kusanya ndio nitajua ukweli ni upi. Naamini Swahili Muslims atakuja na majibu ya kusaidia kwenye hili.
 
Haya ndiyo matatizo ya kukimbia maswali,uwe una jibu maswali unayoulizwa,hii itakufanya uwe makini zaidi. Nilipokuuliza kwamba habari hizo umezipata wapi na sifa zile uzitaje ulidhani nacheza au naleta mzaha au napoteza muda kama unavyo poteza muda wewe ?
Muulize huyo mwenzako aliyezijibu, amezijulia wapi akujuze
 
Back
Top Bottom