Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

Tumebakisha siku 4 kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (S.a.w): Niulize chochote kuhusu Mtume Muhammad (S.A.W.) Nitakujibu

Mohammed alikua SHIA au SUNNI?
Sunni linatokana na neno Sunna yan mwenendo so mwenendo wa mtume ndio Sunna zenyew na wenye kuzifuata wanaitwa ahlu Sunna wal jamaa ama mashia sio waislamu na maadui wa uislam ndo mn wanatukana wake WA mtume na wanafunz wake
 
kila kifo kina chanzo kama si ajali basi maradhi ,je chanzo cha kifo cha mtume ni nini?? na kama ni maradhi ni yapi na aliugua kwa muda gani
Ulama wanasema rasul alikufa shaid Yan aliuwawa siku moja walialikwa chakula na mama WA kiyahud kumbe aliweka sumu mmoja katika maswahaba akafa ,na sumu ile inasemekana ndio ilimuua mtume and Allah knows best
 
Kwenye translation ya mwanazuoni wa kiislamu maarufu kama Ibn Ishaq, alimuelezea buraq kama mnyama ambaye ni mnyama nusu farasi nusu mtu akiwa na mabawa pembeni

image ambayo unaweza ukaijenga kwa sifa hizo alizoelezea huyo mwanazuoni unaweza ukapata picha hii

817896-29673797262_7baa39fbf7_z.jpg



Mimi nilikuwa nataka kuuliza tu, habari hiyo ni ya kweli au yakufikirika? Vigezo gani vilivyotumika kuthibitisha uhalisia wa hilo tukio?
Ukwel vyanz sahih vya kiislam buraq sura yake sio Ivo wanavochora
 
Kwanini alikua amehalalisha kuibia wakureishi kwenye misafara yao ya biashara. Allah alimuagiza haya yote au
Naam aliagizwa na sio kuwaibia bal kurudisha mal zao walizodhulumiwa kipind wako macca na Abu sufyan na wengine
 
Yeye (Muhammad Ibn Abdullah) alizaliwa katika nyumba ya ami yake, Abu Talib, katika “mtaa wa Bani Hashim” huko Makka, tarehe 12 Rabil-awal ya ule Mwaka wa Tembo, tarehe ambayo inaoana na tarehe 8 Juni 570.

Mama yake na mtume Muhammad (s.a.w), Bi Amina, alituma habari za uzazi huu wa kheri kwa babu yake na Muhammad, Mzee Abdul Muttalib, ambaye alikuja, akamchukuwa mikononi mwake, na akampa jina hili la Muhammad.” Lenye maana ya MSIFIWA.

Nawakaribisha kuuliza maswali kuhusu mtume wetu huyu MUHAMMAD "amani na baraka za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake".

View attachment 1975182
kuna member yoyote kutoka ukoo wa Mtume ambaye bado anaishi au tuseme koo yenye asili ya vinasaba vya mtume
 
Ulama wanasema rasul alikufa shaid Yan aliuwawa siku moja walialikwa chakula na mama WA kiyahud kumbe aliweka sumu mmoja katika maswahaba akafa ,na sumu ile inasemekana ndio ilimuua mtume and Allah knows best
haki na kwambia yesu asingeathirika na hiyo sumu hata kidogo angejua mpaka sekunde ambayo hiyo sumu inawekwa.jibril alikuwa wapi kumwambia mtume au nae alikua hajui
 
Yale yale tu, hivi vitabu vimetungwa na watu na si Mungu. Constantin The 1st akishirikiana na wafalme 12 wa nchi za Ulaya ndiyo waliotunga Ukristu na sheria zake. Hawakuwa na siku maalum ya sherehe ya dini yao, wakakopi siku kuu nyingi za kipagani na za Misri (Kiafrika). Waafrika tumechezewa sana akili na hizi dini za kuletewa na ndiyo maana siku za nyuma tukiwa wadogo sie tuliyetaka kujuwa ukweli tulikatazwa kuuliza maswali na kuambiwa kila kilichoandikwa kwenye Quran na Biblia ni neno sahihi la Mungu, kuuliza maswali ni dhambi. What kind of crap is this, Mohammad na mitume wengi walikuwa wauwaji...Mungu anaruhusu haya kweli?
sikupingi
 
Wachafuzi wamekuja kuchafua Uzi.... wanajua kwa faida ya nani...
 
Je nikweli Mtume alioa Binti mdogo (under age).
 
Kwanini alifumua papuchi la katoto ka miaka 9, mbona alikua mkatili kiasi hicho....
 
Hilo jina Nuzulati ni la kike, nitashangaa wewe kama mwanamke unatetea babu wa miaka 50 kufumua papuchi la katoto ka miaka 9.
Kwa nini unaona wivu je ulitaka akufumue wewe k si alikuwa nayo
 
Back
Top Bottom