Tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali

Akili yako kisude kweli bro, mafuta yakipanda bro hayapigi wenye magari tu yanapandisha kila kitu kwenye soko, gharama za usafirishaji zinapanda na gharama za uzalishaji pia zinapanda kwaio madhara yake inapandisha bei ya kila kitu

 
Na wewe Muislam wa Dhehebu lipi? Kuna Moja Wanavaa Nusu Nguo, nafkiri ww ndio utakua Kiongozi wao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Umeshindwa kujibu swali? Nafahamu ni gumu sana kwako, kwa sababu unajitilia shaka kama ukristo wako ni ukweli.

Mimi ni Muislam wa dhehebu La Imam wangu Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam.
 
Kwi kwi kwi teh teh teh, unegjuwa ku google japo kiduchu ungejione dini inayokuwa kwa kasi zaidi duniani ni ipi.

Wewe ni Mkristo wa dhehebu lile la Vatikano? Nikupe ujumbe wako.
 
Kuna watu wanamshauri vibaya makusudi. Wanamshauri vibaya nchi ionekane imemshinda. Maisha haya hatukutegemea. Kila kitu kimepanda bei upandaji bei wa Petrol wa safari hii ni wa kishetani. Haya yote yanafanyika watu hata hawamwambii Rais.
Yeye anayeshauriwa vibaya hana ubongo wa kufanya king'amuzi?
 
Kupanda kwa mafuta unazani ni kilio kwa wenye magari tu?
Vipi kuhusu biashara unazani bei za vitu zitabaki vile vile ?
Wakulima je kusafirisha mazao kuja masokoni unazanbwana tumia mikokoteni?
Nauli kutoka sehm moja kwenda nyingne unazan zitabak vile vile
Embu acha huo UZUZU wewe
 
Lakini na wewe ulikuwa mfuasi wake.
Au ndo mambo ya yesu na petro
 
hajui kuleta TUMAINI.
Ni Kama ameshashindwa na kukubali liwalo na liwe.
aeleze nini na hakuna anachoelewa?? yani yeye waziri akimletea proposal ya bei inaonekana hata haoji akija kwetu ni story ya vita ya ukraine tu hana kingine.
 
kwaiyo mkuu gari sio hitaji?

sio kila anayetumia gari ni anasa
gari kwa sasa siyo anasa ni necesity.gari humsaidia binadamu kwa mambo mengi katika maisha ya sasa hivyo ni lazima serikali iingilie kati swala la upandaji holela wa bei ya mafuta.
 
Omba Mungu akupe akili,kwa Sasa huna
Wewe si unajua Akili anayo Shemeji yako anaekufanya ushikilie remote hapo kwake? Angalia usije kuolewa na wewe kama Dada yako... Soma hii story hapa chini, bado unahitaji CAG aje akwambie??? Unadhani PM anaibuka tu hivihivi kama wewe ukishakula ubwabwa wa Shemeji yako hapo?

 
Ulisahau sidiria yako chumbani kwangu, uje uifate
 
Ulisahau sidiria yako chumbani kwangu, uje uifate
Mi Mpemba.....Si Unajua Shughuli zetu....Mtoto Mzuri kama wewe nakufumua tu Marinda...Sina huruma...Bikira Bado unayo nikufuate PM??? Naona shemeji yako anakulea vibaya...
 
Sasa si naye amwage mboga alete katiba mpya alafu akapumzike kwao kibandamaiti
 
Mi Mpemba.....Si Unajua Shughuli zetu....Mtoto Mzuri kama wewe nakufumua tu Marinda...Sina huruma...Bikira Bado unayo nikufuate PM??? Naona shemeji yako anakulea vibaya...
Unaliwa rivasi?
 
Hivi kamati kuu ya halmashauri kuu ya CCM wameona hili ongezeko la Bei ya mafuta?
Hiki chombo sikisikii siku hizi au hakipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…