Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Akili yako kisude kweli bro, mafuta yakipanda bro hayapigi wenye magari tu yanapandisha kila kitu kwenye soko, gharama za usafirishaji zinapanda na gharama za uzalishaji pia zinapanda kwaio madhara yake inapandisha bei ya kila kitu