Tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali

Tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali

Wabongo wengi Uchumi wenu bado wa kichoko. Hamna uwezo wa Kumiliki magari hata hayo used from Japan.

Tumechoka na VILIO UCHWARA kila siku mitandaoni utafikiri Magari Ni BASIC NEED usipokuwa nalo utakufa.

Huna uwezo wa KUMILIKI GARI basi, achana nalo.

Gari siyo kama wewe unavyomiliki wanaume watatu wanne wanakuhudumka. Huko walikotengeneza magari bado huwa wanalalamika mafuta yakipanda. Wewe tu choko unategemea wanaume wakubemende unaona una pesa? Sisi tunaokuhudumia ndo tunajua haya mambo yakoje.... Wewe tegesha tu kama golikipa.😁😁😁😁😁
 
Mkuu ka tukipata nafasi tunachomekea tu hilo jina.😁

Eti sukuma geng!!!! Sasa hapo sukuma geng imeingiaje!?? Kwenye mazuri yote mama anaifungua nchi kwenye mabaya eti anashauriwa na sukuma geng[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikuambie tu kitu kimoja,ngoja watu hangover za iddi ziishe waje wale chawa wa mama wakuite na wewe ni sukuma geng sababu tuu umeandika mambi ambayo rais hapendi kuyasikia. Ndo ujue sukuma gang ni nini.
 
Hivi Nigeria siwanauza mafuta? Hadi EU wanataka wakayabebe kumkomoa Putin,,,Urusi bei ipo chini kabisa wachina na wahindi wanachangamkia tenda huko serikali ilitakiwa iwe na maghala yakuhifadhia mafuta inapotokea mambo kama haya wangenunua mengi sasa kila kitu kinaenda kupanda mara dufu!
 
Hali ya Maisha inazidi kuwa ngumu. Why jamani, why? Kila siku watu wakiamka afadhali na jana. Serikali yetu kwa sasa haijielewi kabisa. Haieleweki kuna watu wanampotosha Rais.

Kuna watu wanamshauri vibaya makusudi. Wanamshauri vibaya nchi ionekane imemshinda. Maisha haya hatukutegemea. Kila kitu kimepanda bei upandaji bei wa Petrol wa safari hii ni wa kishetani. Haya yote yanafanyika watu hata hawamwambii Rais.

Wamechukulia Ubusy wa Rais vibaya. Wanaamua kukomoa wananchi. Nchi imekuwa ngumu maradufu. Hakuna anayewatetea wananchi wasio na uwezo.

Mafuta yanapanda kwa tsh 300 nzima? Tunaenda wapi ndugu Watanzania? Ni wapi tunakwenda? Hawa watu wanaofanya hizi biashara watatuumiza mpaka lini?

Rais jamani aambiwe maana najua wanamficha hii michezo yao michafu. Wanapandishia humo humo kwa kisingizio cha soko la Dunia. Tunajua hii mipango hasa ikiratibiwa na watu ambao awamu iliyopita walikuwa wanapora maeneo na kuanzisha vituo vya mafuta.

Tunajua watu ambao wamerudishwa kwa ajili ya kuja kumalizia ngwe nyingine ya upigaji. Jamani mkila na kipofu msimshike mkono.

Watu wanakula mpaka wanavuka urefu wa kamba zao. Na haya yote Mhe Rais haambiwi. Na watu wanamshauri vibaya sana. Wanamshauri kwa nia ya kumwaribia.

Ionekane nchi imeshamshinda. Kila kitu kinaenda kiholela holela. Hadi Panya road wanafunga mitaa polisi wamejazana barabarani wakisidiana na traffic. Kwa sasa traffics wamekuwa wengi kuliko askari wa kulinda usalama wa raia .

Kwa kweli kwa hali hii tumedondokewa na kitu kizito chenye ncha kali utosini.
Acha upopoma huyo Sa100 anajua kila kitu kinachoendelea nchini mana yupo kwenye mitandao yote ya kijamii..pia ana ndugu wa hali ya chini.

Ni ujinga kudhani eti raisi anadanganywa hali halisi ya maisha nchini.

#MaendeleoHayanaChama
 
Gari siyo hitaji la lazima. Kwahiyo, Kama hawezi kumudu gari basi.

Kelele mitandaoni Ni trash.

Kama vipi anzisheni chama Cha wamiliki wa magari ya kutembelea Kiwe kinawasemea.

Akili yako ipo sawa?? Mafuta yakipanda bei unajua impact yake kwenye uchumi?? Kupanda kwa bei ya mafuta haimuathir mwenye gari tu hadi wewe inakuathiri. Wake up
 
Akili yako ipo sawa?? Mafuta yakipanda bei unajua impact yake kwenye uchumi?? Kupanda kwa bei ya mafuta haimuathir mwenye gari tu hadi wewe inakuathiri. Wake up
Kwamba mafuta yamepandishwa Bei na serikali???
 
Kwamba mafuta yamepandishwa Bei na serikali???

Mkuu sijasema serikal imepandisha bei ila point ni kwamba kila kitu kitapanda bei ili kucover transport cost. Na serikali ilibd kipindi hiki itoe kodi zote ili kushusha bei ya mafuta hii ingesaidia kidogo.
 
Kwa hili suala tukilikalia kimya ni janga la taifa serekali ipo kwa ajili ya genge la watu Fulani sio kwa ajili ya wananchi kunasababu gani kukumbatia Kodi zisizo na tija maisha yamekua magumu sana kwa kila kitu Sasa imefika wakati watanzania tuamke tuondoe hili genge la wahuni kwa hili mama umeningusha sana nimekaa tamaa na utawala wako

Watanzania Kuna haja ya kufanya jambo hawa waliopo juu si watu ni majini manyonya damu kabisa wameona hata aibu kutangaza kweli 350 tunaelekea wapi wametufanya kua waogo hata kuchukua maamuzi
 
Wabongo wengi Uchumi wenu bado wa kichoko. Hamna uwezo wa Kumiliki magari hata hayo used from Japan.

Tumechoka na VILIO UCHWARA kila siku mitandaoni utafikiri Magari Ni BASIC NEED usipokuwa nalo utakufa.

Huna uwezo wa KUMILIKI GARI basi, achana nalo.
Akili huna kabisa. Kwa hiyo unafikiria wanaoumia ni wenye magari tu. Siku utaponunua kilo ya mchele Kwa 5000 ndio akili itakukaa sawa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu sijasema serikal imepandisha bei ila point ni kwamba kila kitu kitapanda bei ili kucover transport cost. Na serikali ilibd kipindi hiki itoe kodi zote ili kushusha bei ya mafuta hii ingesaidia kidogo.
Serikali ikishatoa Kodi zote maana yake budget iliyokuwa funded na hizo Kodi itabidi zitoke wapi?
 
Akili huna kabisa. Kwa hiyo unafikiria wanaoumia ni wenye magari tu. Siku utaponunua kilo ya mchele Kwa 5000 ndio akili itakukaa sawa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ninunue wapi wakati Mimi nalima.

Rudi shamba ukalime, kuliko kukomalia mjini halafu unalia Lia Kama chizi
 
Back
Top Bottom