Tumefanywa Misukule muda mrefu. Lema tukomboe

Tumefanywa Misukule muda mrefu. Lema tukomboe

Kyenyabasa

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2023
Posts
247
Reaction score
715
Kaka Lema hii ngoma unayopiga imefika mpaka Ndani walipofugia misukule (wtz) endelea kuipiga hiyo ngoma kwa ustadi zaidi ili wafuga misukule (viongozi waovu) waamke na kutubu.

Haiwezekani tufikirishwe vitu vidogo vidogo.

Haiwezekani eti bodaboda ni ajira wakati hainihakikishii maisha marefu na mazuri baada ya kuacha kuifanya.

Haiwezekani Vikoba ikawa njia ya kumkwamua mtu, akina mama wananuka madeni, unampaje mtu kamkopo ka kununulia chupi alafu akienda kukafanyia biashara nayo anakutana na soko lisilotabirika anaishia kukonda kwa madeni na umaskini.

Haiwezekani mwl, Askari na wengine wengi walipwe Tsh 400,000.

Haiwezekani akina mama wajifungulie chini halafu tuchekelee.

Haiwezekani wagonjwa watukanwe kama mbwa halafu tumuone Lema mbaya.

Haiwezekani mafisadi yajilipe mamilion ya fedha kwenye tenda alafu tukae kimya.

Haiwezekani Rais atembeee na msafara wa magari 200 halafu hakuna kinachobadilika.

Haiwezekani kivuli cha rais kifunike kila mahali nchi hii, tunahitaji mamlaka yetu wananchi, hatutaki Ma DC, RC, RAS na Ma DAS ni ujinga mtupu tunahitaji viongozi watoke baina yetu.

Wafuga misukule endelea kufukiza dawa misukule isitoke nje, ikitoka mmekwisha.

Lema Kaka umekuja na upako mzito ebu endelea kuuelewesha umma hata kwa gharama ya kukosa kura.
 
walimu wanalipwa 800,000/-

Hakuna mshara chini ya laki sita, wewe unaongelea 1990 huko
 
Kaka Lema hii ngoma unayopiga imefika mpaka Ndani walipofugia misukule( wtz) endelea kuipiga hiyo ngoma kwa ustadi zaidi ili wafuga misukule ( viongozi waovu) waamke na kutubu.

Haiwezekani tufikirishwe vitu vidogo vidogo.

Haiwezekani eti bodaboda ni ajira wakati hainihakikishii maisha marefu na mazuri baada ya kuacha kuifanya.

Haiwezekani Vikoba ikawa njia ya kumkwamua mtu,,akina mama wananuka madeni,,unampaje mtu kamkopo ka kununulia chupi alafu akienda kukafanyia biashara nayo anakutana na soko lisilotabirika anaishia kukonda kwa madeni na umaskini.

Haiwezekani mwl,Askari na wengine wengi walipwe Tsh 400,000

Haiwezekani akina mama wajifungulie chini alafu tuchekelee.

Haiwezekani wagonjwa watukanwe Kama mbwa mbwa alafu tumuone Lema mbaya.

Haiwezekani mafisadi yajilipe mamilion ya fedha kwenye tenda alafu tukae kimya.

Haiwezekani Rais atembeee na msafara wa magari 200 alafu hakuna kinachobadilika.

Haiwezekani kivuli cha rais kifunike kila mahali nchi hii,,tunahitaji mamlaka yetu wananchi,,hatutaki ma dc,rc,ras na ma das ni ujinga mtupu tunahitaji viongozi watoke baina yetu.

Wafuga misukule endelea kufukiza dawa misukule isitoke nje,,ikitoka mmekwisha.

Lema Kaka umekuja na upako mzito ebu endelea kuuelewesha umma hata kwa gharama ya kukosa kura.
Upo sahihi sana mzee w Kyanyabasa.

Wale wote wanaomshambulia mh Lema ni wale wanaonufaika na mfumo uliopo wa utawala.

Wameshindwa kuwapatia vijana wanaomaliza vyuo na badala yake wanawatupia kwenye bodaboda ili ziwavunje miguu wabakie vilema.

Tangu nipate akaili sijawahi kumuona mtoto wa waziri,katibu mkuu au rais akiendesha bodaboda.

Kama wanaona ni ajira mzuri kwanini watoto wao wasiwanunulie hizo bodaboda waendeshee maisha yao?
 
walimu wanalipwa 800,000/-
hakuna mshara chini ya laki sita, wewe unaongelea 1990 huko
Jamaa anadhani walimu, kwa mfano, wakilipwa milioni 5 ndio maisha yatakua sawa. Uchumi una mambo yake. Ukilipa kima cha chini milioni 5, elewa sokoni watu wataenda na magari ya hela kufanya shopping.
Fungu la nyanya tatu utanunua kwa 20,000.

Kwenye uchumi, lazima pawepo na balancing act. Huwezi kupandisha mishahara kwa ajili ya kupandisha mishahara, kwani gharama zitapanda kwa kiwango kikubwa, na hivyo kudidimia kwa ubora wa maisha.

Kwa sababu, unapoongeza mishahara, cost za uzalishaji zinakuwa juu kwa waajiri. Wao hawafanyi biashara ya huduma, wanataka faida. Kwa hivyo, watapandisha bei ya vitu, mfano mbolea, sukari, na kila kitu kitapanda bei.

Hivyo hela bado haitatosha na sasa watu watataka kima cha chini kiwe bilioni moja, bado mzunguko utarudi palepale. HAZITATOSHA. 😂😂🙆
 
Huu labda uchumi wa Zimbabwe
Jamaa anadhani walimu, kwa mfano, wakilipwa milioni 5 ndio maisha yatakua sawa. Uchumi una mambo yake. Ukilipa kima cha chini milioni 5, elewa sokoni watu wataenda na magari ya hela kufanya shopping.

Fungu la nyanya tatu utanunua kwa 20,000.

Kwenye uchumi, lazima pawepo na balancing act. Huwezi kupandisha mishahara kwa ajili ya kupandisha mishahara, kwani gharama zitapanda kwa kiwango kikubwa, na hivyo kudidimia kwa ubora wa maisha.

Kwa sababu, unapoongeza mishahara, cost za uzalishaji zinakuwa juu kwa waajiri. Wao hawafanyi biashara ya huduma, wanataka faida.

Kwa hivyo, watapandisha bei ya vitu, mfano mbolea, sukari, na kila kitu kitapanda bei. Hivyo hela bado haitatosha na sasa watu watataka kima cha chini kiwe bilioni moja, bado mzunguko utarudi palepale. HAZITATOSHA. 😂😂🙆
 
Jamaa anadhani walimu kwa mfano wakilipwa milioni 5 ndo maisha yatakaa sawa, uchumi una mambo yake,, ukilipa kima cha chini milioni 5,, elewa sokoni watu wataenda na matoroli ya hela kufanya shopping...
hii elimu unampa ataweza kuelewa?

Kuna walimu wa Halmashauri na kuna wa TAMISEMI.

Kama mpaka leo ana -amini mshahara wa mwalimu ni 400,000 huyo si POYOYO tu.

Walimu wote wanao anza kazi hakuna chini ya 800,000/- bado wana posho za mazingira magumu kwa wale wa mikoani na vijijini, bado kuna semina na mambo kibao, hii nchi bado sana kama mtu ana bando anashindwahata kutafuta uzi huku kuna mishahara ya walimu:
 
Upo sahihi sana mzee w Kyanyabasa.

Wale wote wanaomshambulia mh Lema ni wale wanaonufaika na mfumo uliopo wa utawala...

Wapo watoto wa Mawaziri na Wabunge wanaendesha.

pikipiki zile BMW cc1200 , zinauzwa milion 33.

vvvvv.jpeg
 
Jamaa anadhani walimu kwa mfano wakilipwa milioni 5 ndo maisha yatakaa sawa,, uchumi una mambo yake,, ukilipa kima cha chini milioni 5...
Ukute hauna hata uhakika wa kupata milo miwili iliyo kamilika kwa siku.

Nyumbani kwako kisamvu na ndondo kila kukicha alafu unacho thamini ni kununua mashati ya kijani na njano.

364882050.jpg
 
Haya majitu yamerogwa kabisa hawana hata huruma kwa watumishi wa umma.
Utakataa kwa sababu za kisiasa, lakini hizo ndio principal za kiuchumi,, unapopandisha mishahara ya watumishi,, cost lazima zipande, serikali haiwezi kuajiri watu zaidi ya milioni.

Katika watanzania milioni 30,, it means milioni 29 itabidi waingie private sector, au kujiajiri kwa sector zisizo rasmi ikiwemo bodaboda, mamantilie, etc.

Lema yeye anadhani serikali inawezs kuwapa kazi watu milioni 30,na iwalipe kima cha chini milioni 5,, 🤷
 
Kwahiyo wewe 800k unaona ni bonge la mshahara?

Kweli maisha ni kuchagua.
Mama yangu anafagia barabara analipwa 150,000/- kwa mwezi.

Dada wa kazi nyumbani mshahara 100,000/ - anahtaji pedi kila mwezi, nguo za ndani, kuoga , mafuta na sabani, nauli kila siku na ana watoto wawili:
Wewe endelea kulala sebuleni kwa shemeji yako!
 
Haya majitu yamerogwa kabisa hawana hata huruma kwa watumishi wa umma.
Yaani nimwonee huruma mfanyakazi , mie mkulima kumuonea huruma mfanyakazi is a stupidity of a highest order😁
 
Acha uchumi uchwara, kwenye uchumi hakuna lazima kuna kitu kinaitwa ceteris paribus.
Utakataa kwa sababu za kisiasa, lakini hizo ndio principal za kiuchumi,, unapopandisha mishahara ya watumishi,, cost lazima zipande, serikali haiwezi kuajiri watu zaidi ya milioni,
Katika watanzania milioni 30,, it means milioni 29 itabidi waingie private sector, au kujiajiri kwa sector zisizo rasmi ikiwemo bodaboda, mamantilie, etc.
Lema yeye anadhani serikali inawezs kuwapa kazi watu milioni 30,na iwalipe kima cha chini milioni 5,, [emoji1745]
 
walimu wanalipwa 800,000/-
hakuna mshara chini ya laki sita, wewe unaongelea 1990 huko
Ona aibu wadogo zangu nimewatftia mwenyewe kazi anayenza kazi na certificate ya ualimu analipwa tsh 540,000/ kabla hajakatwa akikatwa anabaki na 476000 Kama sijakosea kdg,,,huo ndo mshahara wa kumpa mtu?

Yaani kwa mwaka havuki 4,900,000/ huo si umaskini wa Hali ya juu, hata majeshini nmeingiza wadogo zangu mishahara yao naijua kinachowabeba ni posho zao tu angalau vinginevyo mishahara yao ni vichekesho, viinua mgongo vyao unaweza ukalia ukiona au kuambiwa.

Mzee unasema uongo kwa manufaa ya Nani!!! Hizo 800,000 unazoona nyingi ni kwa mtu aliye na ka degree au amakaa kazini muda mrefu Sana pengine anakaribia kustaafu enyi walafi tuachieni nchi yetu tuitengeneze
 
Acha uchumi uchwara, kwenye uchumi hakuna lazima kuna kitu kinaitwa ceteris paribus.
Ajue wapi huyo kada uchwara wa ccm.

Tatizo la hapo ni kuwa vigezo vya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu
 
Back
Top Bottom