Tumefanywa Misukule muda mrefu. Lema tukomboe

Tumefanywa Misukule muda mrefu. Lema tukomboe

Ni jambo zuri kama anataka wasitembee na vyakula kwenye ndoo na ugali uliofungwa kwenye mifuko ya plastiki.
Yeah, itakuwa raha sana, ikifunguliwa migawaha kama macdonald kila kona ya nchi, hadi huku ngulyati, bariadi,, 🤷
 
Mmezoea umaskini na mazingira duni mpaka vitu vingine vya kawaida kabisa huko duniani kwa binadamu wengine mnaona kama miujiza ya mbinguni. Poor you.
Yeah, itakuwa raha sana, ikifunguliwa migawaha kama macdonald kila kona ya nchi, hadi huku ngulyati, bariadi,, [emoji1745]
 
Mmezoea umaskini na mazingira duni mpaka vitu vingine vya kawaida kabisa huko duniani kwa binadamu wengine mnaona kama miujiza ya mbinguni. Poor you.
US.
Screenshot_20230319-131644~2.png
 
Back
Top Bottom