Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Ukute hauna hata uhakika wa kupata milo miwili iliyo kamilika kwa siku.
Nyumbani kwako kisamvu na ndondo kila kukicha alafu unacho thamini ni kununua mashati ya kijani na njano.View attachment 2557745
Sasa hii imekua personal, sitaegemei member wa miaka mingi kama wewe unaishiwa arguments na kuanza kumshambulia mtu binafsi.
Kwahiyo kama mimi ni kapuku sina mbele wala nyuma, huoni wewe ni mpumbavu kulazimisha nitete mtu anaepata laki 8 kwa mwezi? 😂
I am surrounded by idiots, with no logic or reasoning capability. 😥