Waliigeuza Nchi kuwa Mali ya Chato,Unajifanya wewe mwenyewe ndo unauchungu sana na hii nchi kuliko wengine.Kama mlijisahau mkafikiri hii nchi ni mali yenu imekula kwenu.kwahiyo punguza huo uzwazwa uko kichwani.
Mayanga Construction vipi
uzwazwa ni kukereka mtu anapokwambia ana uchungu na nchi.Unajifanya wewe mwenyewe ndo unauchungu sana na hii nchi kuliko wengine.Kama mlijisahau mkafikiri hii nchi ni mali yenu imekula kwenu.kwahiyo punguza huo uzwazwa uko kichwani.
anaweza asiwe nayo,ila wakati mwingine mazingira ndio humbadirisha mtu.Kwa huyo mama SSH ukimtazama vizuri unaona kuna sura ya kubadili gia angani?
Kuna mwingine Mzee Mdee alisema afungwe break, wakamwishitaki, matokeo yake akaingia mtaroni, hatunaye tena!Naunga mkono hoja.
Kikwete ni Disaster kwa nchi Tanzania! Afungwe breki.
Kwa kweli ,kabisa kabisa,siyo jitu linajimilikusha kila kitu na halitaki watu waongee.Jitu hata likienda kanisani lenyewe ndo linahubiri maaskofu.Nchi ikabingwa mashavu hadi mbupu,wake kwa waume wakaufyata .Afadhari Sasa hivi bana aaaaaAfadhali ya Kikwete Mara milioni kuliko ibilisi .
[emoji15][emoji15][emoji15]Kuna mwingine Mzee Mdee alisema afungwe break, wakamwishitaki, matokeo yake akaingia mtaroni, hatunaye tena!
Alitekwa kipindi cha JK Ila JK wasn't involved at all. Huyu Mwendazake alikuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA kikiwa chini ya Paul Makonda na Richard Musalika Makungu, RAS wa Tabora kwa sasaUlimboka alitekwa na nani?
Hasa kwanini usipeleke kesi kwa Mama Samia kuwa Makonda ambaye hana cheo chochote na Ras wa Tabora ni Jambazi mama mpendwa akusikilize.Alitekwa kipindi cha JK Ila JK wasn't involved at all. Huyu Mwendazake alikuwa anamiliki mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA kikiwa chini ya Paul Makonda na Richard Musalika Makungu, RAS wa Tabora kwa sasa
Nitajie mtoto Hayati Magufuli aliyeko Serikali kama Kiongozi?Mbona kama una chuki binafsi na mkwere!
Viongozi wote wa nchi hii watoto zao walingizwa na wapo kwenye uongozi.
Ova
Ukweli kwa 100%Kosa kubwa la kwanza alilolifanya Kikwete kwenye uongozi wake ni kuiruhusu familia yake kujiingiza moja kwa moja kwenye mamlaka ya Rais.
Tulishuhudia awamu ya Kikwete kijana mdogo kama Ridhiwani kujimilikisha makampuni meengi ya kilaghai na waliokuwa wasaidizi wa Ridhiwani nao kujiingiza moja kwa moja kwenye Utawala wa nchi.
Hatuchagui watu kwa kubalance Makabila yao Bali sifa kama Kabila lako halina Mtu anayekidhi vigezo hatuchagui,Haya Mambo ya kutaka Kabila lako kulisababisha vyeti Fake na Ghost workers na wengi wao ni wale waliotuaminisha wamesoma kuliko wengine.na ndio wanamtukashfu Hayati MagufuliWanajaribu kumblackmail mama teh teh teh
Magufuli ndo alikuwa na Nepotism, Ukanda, Udini na Ukabila.
Mwacheni Samia achape kazi, tena namuomba sana mheshimiwa Rais atusaidie kuondoa Udini, Ukabila na Ukanda vilivojiinua sana kipindi cha mwendazake, tunataka kuona watu wa makabila yote, dini zote, kanda zote wenye vigezo wakiwemo katika serikali yake bila kulaliaa upande mmoja
Ni Kichaa tu anaweza andika uharo huu tangu lini Wasukuma wakategemea mtu awafanye waishi maisha kama MalaikaVumilieni tu sukuma gang Kama wengine walivyokuwa wanauchukia utawala wa Mungu wenu wa Chato lakini Waliuvumilia mpaka pale Mungu aliposikia kilio Chao.
Sasa ni wakati wenu wakuishi Kama mashetani .
Huu upuuzi uliouandika, lengo ni nini hasa? We need well organized minds in this forum kuliko watu waropokaji ambao uwezo wao unaishia kusoma, kuandika na kuhesabu.Kikwete alipokuwa akitaka kugombea Urais mwaka 1995 Nyerere alimwambia kwamba wewe bado mdogo muachie Ben watu weengi waliamini hivyo ila ukweli Nyerere alimaanisha kuwa Kikwete alikuwa mdogo kwenye mambo ya kupewa kuiongoza Nchi yaani alimsoma mwenendo wa maisha yake na kugundua kuwa ni msumbufu na hafai kuwa Rais wa nchi Nyerere aliona mbali sana.
Kosa kubwa la kwanza alilolifanya Kikwete kwenye uongozi wake ni kuiruhusu familia yake kujiingiza moja kwa moja kwenye mamlaka ya Rais.
Tulishuhudia awamu ya Kikwete kijana mdogo kama Ridhiwani kujimilikisha makampuni meengi ya kilaghai na waliokuwa wasaidizi wa Ridhiwani nao kujiingiza moja kwa moja kwenye Utawala wa nchi.
Rais Mstaafu Kikwete aliporuhusu hata marafiki wake wa karibu kuingia kwenye masilahi ya Urais wake kwa njia ya utapeli hali hii imepelekea sasa kuhangaika sana wanapopata mtu ambaye hajali maslahi yao hii ni kwa sababu moja tu wanaendeleza biashara zao za kitapeli kipindi wawapo kwenye mifumo.
Ndio maana Nyerere alisema ni hatari sana kuingiza Ikulu Rais mfanyabiashara hali ikiendelea hivi kuna umuhimu sasa wa kuwa na mgombea binafsi ambaye bila huruma atakuja kuisafisha nchi.
Hiyo misukule inahangaika kwa sababu, mikono yao imejaa damu. Hiyo ndiyo ilikuwa mikono ya shetani Duniani.Hakuna jambo jepesi JF kama kuifahamu Misukule ya Jiwe!!
Yaani inatapatapa hiyo... hadi inatia huruma!!
Huu upuuzi unafikirisha nini?Andiko zuri la kufikirisha! Samia anafaa kujitenga na hiyo familia kwa maslahi mapana ya nchi