Tumefika hapa kwa sababu ya Kikwete kumlea vibaya Ridhiwani kuihusisha familia yake kwenye masuala ya uongozi

Yaani binafsi nilitamani Kikwete angerudishwa kuwa Rais kuliko yule Dictator. FURAHA tuliyo nayo kwa sasa acha tu tutawaliwe hata na kivuli tu inatosha. Hatutasahau Awamu ya 5. Unafiki mtupu. Ile kampuni ya Mayanga ni ya nani? Pesa za kupeleka kujenga kwao bila kupitia UTARATIBU maalum. Kugawa watanzania kwa ukabila, ukanda na uvyama. Tuacheni kwanza tufurahie ndiyo mlete Habari zenu hizi.
 
Kikwete Urais wake ulikuwa wa ubia na familia na rafiki zake wakina 'ShKubar"! Kama ataruhusiwa kuturudisha huko kutatokea backlash kubwa kutoka kwa wananchi na Samia hata kuwa salama na utawala wake!
Acha porojo wewe, mbona na Magu alikuwa na genge lake tena la kuja na kuteka wanaipinga utawala wake, kundinla wakina mfugale na kakoko wamekula na nchi hii. Kikwete hata kama aalikula maisha yalikuwa yanaenda. Jiwe alikuwa anakula ma misskuma mienzake tu
 
Wasukuma bwana hivi hamuwezi ku settle mambo yenu hadi muchafue watu Mungu wenu amekufa
Tena kabisa kabisa. Zina Sukuma Gang. Zika ukabila, zika ukanda, zika udikteta. Damu za waliotangulizwa zitaendelea kudai haki zao za kuishi.
 
Well said. Kula 5 mkuu
 
Mbona kama una chuki binafsi na mkwere!

Viongozi wote wa nchi hii watoto zao walingizwa na wapo kwenye uongozi.

Ova
Januari Makamba, Nape Nnauye,, Husein Mwinyi, Karume........... unaweza endelea list mpaka kesho.

Mmmmmm sijui, pengine mtoa mada kashindwa kuwakilisha hoja yake au ana chuki binafsi na Mkwere.
 
NYERERE church
MWINYI islam
BWM church
JK islam
JPM church

___ wakichaguliwa islam

udogo unatoka wapi.

ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO
 
Hasara aliyoingiza Kikwete nchini haifiki ata robo ya hasara aliyotuingiza Mwendazake uyu kaiba kwa kutumia nguvu hakutumia akili ata siku moja nakumbuka kule Kagera wakati wa TETEMEKO LA ARDHI wahisani walitoa kiasi cha 60billion akazichukua na kutumia 6billion kujenga shule ya Ihyungo zilizobaki 54bilion aliziiba mpaka leo hakuna muhanga aliyepata ata kipande cha bati.

Nchi hii haijawahi kupata mtawala mwizi kama uyu.
 
Wasubili nao watajengewa kwani serikali haipo likizo. Huwezi fanya yote kwa pamoja tupunguze wivu si kila alichofanya ilikuwa hisani.
Imondani ya Irani wana cc ndo walipitisha.
 
Hahaha mkuu haupo serious , hapo unamzungumzia nani vile, si mnayemuita meko?
Sasa nani kasahaulika ndani ya miezi 3.
 
Mleta mada hizo ni akili za kisukuma una ng'ombe kibao watoto wako wanashindia migolole na rainboot mwache kikwete ni mtoto wa mjini huyo
 
Busisi ipi wengine pia Ni wa huko. Sijawahi kusubiri Panton masaa kadhaa tangu niwe na fahamu
Pole kama unavuka mara moja moja huwezi jua adha ya pale. Ukiwa na private lazima namba uisome. Acha mkuu sisi likamilike nikiwaza kwenda mwanza mda mfupi tu niko ziwa.
 
Ukabila wa Nyerere

Mwanasheria Mkuu: Joseph Warioba, Home boy wake

Mkuu wa Majeshi :Musuguri, Home boy
Katibu wa Rais: Joseph Butiku Home boy
Katibu Mkuu Kiongozi: Apiyo Home boy
Mbunge wa kuteuliwa na Rais:Joseph Nyerere Mdogo wake
 
Ukabila wa Nyerere

Mwanasheria Mkuu: Joseph Warioba, Home boy wake

Mkuu wa Majeshi :Musuguri, Home boy
Katibu wa Rais: Joseph Butiku Home boy
Katibu Mkuu Kiongozi: Apiyo Home boy
Mbunge wa kuteuliwa na Rais:Joseph Nyerere Mdogo wake
Mwinyi alimchomoa Warioba akamuweka John Malechela
 
Vumilieni tu sukuma gang Kama wengine walivyokuwa wanauchukia utawala wa Mungu wenu wa Chato lakini Waliuvumilia mpaka pale Mungu aliposikia kilio Chao.

Sasa ni wakati wenu wakuishi Kama mashetani .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hasa kwanini usipeleke kesi kwa Mama Samia kuwa Makonda ambaye hana cheo chochote na Ras wa Tabora ni Jambazi mama mpendwa akusikilize.
Rais SSH siyo Polisi. Halafu kumbuka kwenye mashauri ya JINAI upande wa mlalamikaji ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aliyeshuriwa hawezi kushtaki bali anakuwa shahidi wa Mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…