Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Hasa kilichokufanya ulielie humu ni nini au una njaa?Rais SSH siyo Polisi. Halafu kumbuka kwenye mashauri ya JINAI upande wa mlalamikaji ni Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aliyeshuriwa hawezi kushtaki bali anakuwa shahidi wa Mahakama