Tumejifunza nini kama Taifa kuhusiana na uzushi kuhusu afya ya Rais Magufuli?

Rungu la Mbowe linakusubiri hapo Ufipa!
 
Mkuu;
Huwezi kusema CHADEMA wote ni wapumbavu!

Ninadhani ni baadhi ya wanaCHADEMA.

Sasa Hapo ndio mgawanyiko unapoanzia ukisema Chadema wajinga kushabikia matatizo ya kiafya ya Rais tambua kuwa pia wapo wana ccm walikua wanachekea Chooni tena hao ndio Wanga kabisa wanaomtakia mabaya Rais wetu na anakula nao
Tambua kuwa wanaoumia na hatua Kali za Rais ni wana ccm waliokuwa wanafaidika na ufisadi kuliko hao Chadema Kwa sababu wao hawajawahi kunusa utamu wa ufisadi SERIKALI

Chadema pia wana hoja kuwa ccm walishamgilia matatizo ya TUNDU LISU na hata kushangilia anyimwe matibabu

Kimsingi pande zote mbili zimekosea na ni muhimu kuzika tofauti na kukubaliana kuishi kwa msingi ya Utanzania na sio kuendeleza chuki
Wote tumeona tumefikia mahali pabaya Sana
 
Hatuna la kujifunza watanzania tumeshazoea haya mambo.kama lissu alipigwa risasi mpaka leo serikali haina majibu, viongozi tuliowachagua wenyewe kwa utashi wetu wanahamia ccm unataka tujifunze nini katika uzushi huu kama kwenye matukio haya ya uhalisia hatukujifunza kitu?
 
Tatizo mnajifanya kujua mno humu mitandaoni.. Mmewashika akili wapumbavu kuamini vijineno vyenu. Mnaumbuka taratibu, tumieni vidole vyenu wisely kutafuta comments na likes kwa njia hizo mtapotea
 
Tatizo matendo yao yanawahukumu, ndio maana wanakosa pa kuanzia, hivyo the only solution wanayoiona wao ni kukaa kimya wakiamini kuwa tatizo litajitafutia ufumbuzi lenyewe.
 
Nimejifunza kuwa Rais huyu ni kipenzi cha watanzania maana wakati wa kuapisha viongozi hao watatu viewers walikuwa 1M na comments zote zilikuwa positive na walionyesha mapenzi makubwa kwa kiongozi wao mkuu wa nchi
 
Huo umoja wa kitaifa kuyumba sababu ya tweets za akina Zitto mzee? Yaani kakikundi ambacho tunajua hadi fake IDs zao ndio unasema taifa? Unajua mliheshimika sana kiasi kwamba sasa significant number imeanza kujua motives zenu!
Wamejishushia heshima sana, tena katika wakati mbaya sana. wasubiri majibu ya kazi yao 2020
 
Magafuli anatakiwa kujifunza kuwa humble na binadamu wenzake. Ukiona binadamu wenzako wanakuombea kifo ujue kuna mahali unawakwaza.

Kuwa humble na binadamu wenzako haimaanishi kwamba usitekeleza majukumu yako kama Raisi.

Mi nadhani aisikilize ile hotuba ya Kikwete vizur kuna kitu atajifunza.
 
Mkuu mbona una conclude kwamba Rais ni mgonjwa, umejuaje? Kigogo kadanganya watu hadi kufikia kutaja chumba ambacho ati Mh Rais alilazwa huko Ujeremani! Bado unasema Kigogo siyo muongo kwa 100%!! Ajabu

Sija conclude moja kwa moja ila nimelenga kusema KUUGUA ITS NOT A BIG DEAL YEYE NI MWANADAMU haikutakiwa kuuwa jambo la kushangilia
Mimi mambo ya kigogo sitaki kusikia ila tuangalie tu impact ya kuporomoka kwa utaifa
 
Me i fully eleive that magufulis health is not RIGHT NEITHER IS IT OKAY, infact if you follow very carefully what he has been saying when going around the country you will discover that his MENTAL STATE IS UNSTABLE. have you heard what he has been talking at those places, times sacking people simply coz they are not in his convoy (like takukuru boss of mtwara, without first finding out if this boss is either sick or) telling a certain water engineer do you want this people to drink your urine? telling a certain woman who asked for water that she should go and request water from her husband, the list is endless, truth be told, MAGUFULI IS SICK BOTH MENTALLY AND HEALTH WISE PERIOD, i support those who share my views,
 
Huo umoja wa kitaifa kuyumba sababu ya tweets za akina Zitto mzee? Yaani kakikundi ambacho tunajua hadi fake IDs zao ndio unasema taifa? Unajua mliheshimika sana kiasi kwamba sasa significant number imeanza kujua motives zenu!

Do you include me in that ; am not a politician and I will never be one
Simply all sides ccm na Chadema have their part of blame
 
mkuu pls ongea ukweli, zote tunajua hali ya tz, taifa liko katika janga kubwa, kisiasa, kiuchumi na hata kielimu, magufuli is EVIL
 
Afu wameaibika sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…