KERO Tumekwama ndani ya Treni ya SGR hapa Ngerengere kwa saa tatu sasa, tunaambiwa kuna suala la kiufundi

KERO Tumekwama ndani ya Treni ya SGR hapa Ngerengere kwa saa tatu sasa, tunaambiwa kuna suala la kiufundi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Atokee kiongozi mwingine aweke njia maalumu ya umeme wa kuendeshea treni. Hasa ule umeme unao mwagikia
 
mtateseka sana hapo nchi ya ukimani. ukimani ni taabu na mahangaiko
hakuna kitu kinawezekana. ni ushenzi mwanzo mwisho. nashukuru Mungu kwa zawadi ya kuishi mbali na ukimani
 
Mimi nipo Ruvu tangu saa11 jioni hadi muda huu.
 
Ni mwendo wa kutengeneza tatizo wajanja wanapiga hela tu
 
Tatizo


Ili uwachukize Mwanamke wa kichaga jaribu hii!/Ili demu wa kichaga akuelewe tekeleza huu ujumbe kwa asilimia 100

Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tiba
IMG_20241204_222748.jpg
 
Back
Top Bottom