Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Treni sita!?..fafanuaWana JF
Serikali ijitafakari katika hili, treni 6 zimekwama zaidi ya saa 4 njian na hakuna taarifa yoyote, kuna sehemu hapako sawa
Tanesco ni jini maimuna wa nchi hii,wanaona ni Bora mwekezaji tapeli la kihindi lije kutunyonya Tena kama Songas,hapa hatuko tayari.Bora Lumumba watupishe.maskini na sisi tujaribu kujenga nchi.Wana JF
Serikali ijitafakari katika hili, treni 6 zimekwama zaidi ya saa 4 njian na hakuna taarifa yoyote, kuna sehemu hapako sawa
Trab na trat Yuko kimya kabisaUmeme leo traabu sana aisee.
Toka asubuhi tunahangaika tu na majenereta.
Zanzibar ipi iyo?Zanzibar umeme wakumwaga
Haka katreni kamekuja nchi ya kichawi,kuanzia Zanzibar mpaka Tunduma ni ulozi tuuHapo ndio labda watafikiria watumbuane
Hako katoto kamekuwa ni Bora kapewe channel yake kasimame,ni kanyonyaji kapya ka uchumi wa Tz,kwanza kwanini Rais atoke kijijini huko,kwani bara tumewakosea niniZanzibar ipi iyo?
Tangu nione sijazaliwa.Baada ya Treni ya SGR kukwama awali asubuhi ya leo, Desemba 4, 2024, mimi ni mmoja kati ya abiria ambao walikuwemo kwenye treni hiyo, nikaona JamiiForums imeripoti kuhusu tukio hilo.
Mpaka muda huu naandika hapa saa Tatu usiku huu ni kwamba tumekwama kwenye kituo cha Ngerengere tukiwa tunatokea Morogoro kuelekea Dar es Salaam.
Tangu saa Kumi na Moja jioni mpaka muda huu Treni imesimama hapa, maafisa wa humu ndani ya Treni wanatuambiwa kuwa kuna ishu ya kiufundi ndio tatizo.
Hiyo hujuma Iko njiani, nilisema hili juziNchi ya vibwengo hii kuna siku mtasikia treni za SGR zagongana, yapata ajali , nchi ya ngedere twa twa two two
Kwa hii nchi ukiona hivi,ujue kuna mradi ambao sio muda mrefu wanataka kuungiza na uwe na uhakika wameshajiandaa kupiga pesa nyingine zaidi ya trilioni moja ili kurekebisha hizi train zisikwame.U free mason mwingi sana katika hii nchi.Wana JF
Serikali ijitafakari katika hili, treni 6 zimekwama zaidi ya saa 4 njian na hakuna taarifa yoyote, kuna sehemu hapako sawa
shida ni hapo alipokaa.Ndio raha ya kutotumbuana...acha watu wajifanyie wanavyotaka bana mazeli hana shida na mtu
Hilo sio jukumu lao usijisahaulishe jukumu lao kubwa ni nini!Huu ndio muda wa usalama wa taifa kuonesha uzalendo wao kwa kuchunguza watu wanaohujumu treni wakifeli hapo nitawashangaa
Eleza vizuri tukuelewe. Sijakuelewa
Ana.... tu huyo.Trab na trat Yuko kimya kabisa