Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mbn niliona taarifa ya TRC wakiomba radhi kwa tatizo husika,Treni 6
Tatu kutoka Dom - Dar moja ilikua inatoka Moro, na tatu nyingine Dar - Moro - Dom
Treni iliyotoka saa nane mchana haijafika Dar
Ina maana hawajafika walipokuwa wanaelekea mpaka sasa ?