Tumelala giza tumeamka bado hakuna umeme !.

dah usiendelee bwana unaumiza moyo wangu. Mi pia nlikua moja yao ila nishatubu kaka mtusamehe sisi mtusamehe
 
Arusha sasa ni mateso makubwa sana
 
maombi yangu niliomba kabla sijafa nifanye kazi nje ya nchi na uzee wangu niishi Botswana au Namibia mpaka kufa kwangu. Naiandika kwa herufi ndogo tanzania ni nchi kuubww la kipumbavupumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…