Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah usiendelee bwana unaumiza moyo wangu. Mi pia nlikua moja yao ila nishatubu kaka mtusamehe sisi mtusamehemlimnanga sana yule jamaa sasa kinawapata kiberiti alichowasha kimezima!.. mkamuita dictator mlifikiri nchi hii inatakiwa iongozwe soft soft!.
hata hivyo shangazi alishagasema vinampwaya viatu vyakaka!.
nchi inaongozwa na wenye pesa zao amabao wanataka mambo yao yapite ili biashara zao zifanyike!.
alipowagusa hao watu wakubwa mkaanza kusema "haki za binadamu haki za binadamu!"
mmesahau kuna watu walikimbia nchi..?
kama walikuwa ni wenye haki kwanini walikimbilia mafichoni..?
hamtafumbuka macho msipokubali kufumbuliwa!
mmkikaa kimdebwedo hata visivyoliwa vitaliwa.
Au sioTafuta hela usilale giza
Arusha sasa ni mateso makubwa sanaJana Arusha kutwa nzima hakuna umeme,usiku umeme ulirejea saa 7 asubuhi saa 1:43 wamekata.
Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama.
Kipindi kuelekea Christmas 🎄 majumbani ukiwa mtupu.
Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Umempachika Dotto Unaibu Waziri Mkuu na Nishati lakini hakuna cha maana zaidi ya misafara na mbwembwe ambazo hazitusaidii Watanganyika.
Mchumba angu tuhamie Botswana kwa waingereza weusi. Kule wamestaarabika na maendeleo ka yoteWamekata tena 😀😀 ilaaa tanesco
Mi ndo maana nimekimbia home huko nmekuja kubeba tofar daslam.Arusha sasa ni mateso makubwa sana
Nunua solar..........kwishaaaaa haina stressWamekata tena [emoji3][emoji3] ilaaa tanesco
😁😁 tulia nchi yakoMchumba angu tuhamie Botswana kwa waingereza weusi. Kule wamestaarabika na maendeleo ka yote
maombi yangu niliomba kabla sijafa nifanye kazi nje ya nchi na uzee wangu niishi Botswana au Namibia mpaka kufa kwangu. Naiandika kwa herufi ndogo tanzania ni nchi kuubww la kipumbavupumbavuJana Arusha kutwa nzima hakuna umeme,usiku umeme ulirejea saa 7 asubuhi saa 1:43 wamekata.
Tumeshindwa kupasi nguo,vyakula kwenye fridge vimeharibika,tumelipia Dstv full package hatuna tunaweza kutazama.
Kipindi kuelekea Christmas 🎄 majumbani ukiwa mtupu.
Tunajuwa Makamba alihujumu TANESCO hukumchukulia hatua stahiki.
Umempachika Dotto Unaibu Waziri Mkuu na Nishati lakini hakuna cha maana zaidi ya misafara na mbwembwe ambazo hazitusaidii Watanganyika.
Nunua solar..........kwishaaaaa haina stress
Sinon ya uswahilini?Umewasema wamekusikia [emoji3][emoji3]
Huku sinoni tushazoea kuishi bila umeme.
Ndio mkuuSinon ya uswahilini?
Ùna nyota kali mwaka huu kila mtu anataka uwe wake, peleka sadaka ya shukrani😁😁 tulia nchi yako
Afu wewe ni nani?
Bora huko arusha kuna baridi huku dar na joto hili usipime!Wapi huko?
Jana Njiro nimetoka misele saa 11 nimeacha umeme haujarudi, nafika nyumbani napo hamna umeme [emoji3][emoji3]
Nikalala zangu, nikaja shtuka saa 8 umerudi.
Leo tunao huku misele, home sijui.