Inasikitisha sana! Kwa nini binadamu anaweza kuwa mnyama wa kiwango hiki!
Huo Uguru wake amevumbuwa nini kwenye IT?
Inasikitisha sana! Kwa nini binadamu anaweza kuwa mnyama wa kiwango hiki!
US, waombee siku moja atokee kiongozi atakayejitolea kuongoza mhula mmoja, akiwa madarakani asukume agenda ya kufanyia mabadiliko makubwa ya sheria ya umilikaji silaha ili kuwa na masharti magumu sana ya mtu kupata kibali cha kumiliki silaha. Siyo jambo rahisi, kwa kuzingatia nguvu walizonazo wamiliki wa viwanda vya kutengeneza silaha na kile chama cha wamiliki silaha, lakini inawezekana.
Nguvu haipo kweny hivo vyote, nguvu ipo kwenye katiba yao unless wafany mabadiliko ya katiba,Inasikitisha sana! Kwa nini binadamu anaweza kuwa mnyama wa kiwango hiki!
US, waombee siku moja atokee kiongozi atakayejitolea kuongoza mhula mmoja, akiwa madarakani asukume agenda ya kufanyia mabadiliko makubwa ya sheria ya umilikaji silaha ili kuwa na masharti magumu sana ya mtu kupata kibali cha kumiliki silaha. Siyo jambo rahisi, kwa kuzingatia nguvu walizonazo wamiliki wa viwanda vya kutengeneza silaha na kile chama cha wamiliki silaha, lakini inawezekana.
AmenRiP kijana wetu tangulia damu yako itasafisha doa ubaguzi wa rangi.....Amen
Sio mtu mweupe..stupid LatinosDogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Mbona hata bongo ishatokea tena na mtu mzito tu. Ni hali fulani tu ya kibinadamu ambayo wengine wanashindwa kuistahimili.Yaani binadamu anamuua binadamu mwengine kwa sababu amegonga gari yake? Kweli inasikitisha.
RIP.
Dogo anamiaka 20?huyo itakua anaishi ma ndgu huko sio mzamiaji huyo,rip dogoDogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Sidhani kama ni ubaguzi maana hata bongo ishatokea tena na mtu mzito tu. Ni hali fulani tu ya kibinadamu ambayo wengine wanashindwa kuistahimili.Dogo aligongana na mtu mweupe, mtu mweupe akatoka kwenye gari yake akaja kwa dogo na kumpiga risasi sita, mtu mweupe amekamatwa na amefunguliwa kesi ya mauaji. Sasa sijui ni ubaguzi au bhange tu za mtu mweupe
Inasikitisha sana! Kwa nini binadamu anaweza kuwa mnyama wa kiwango hiki!
US, waombee siku moja atokee kiongozi atakayejitolea kuongoza mhula mmoja, akiwa madarakani asukume agenda ya kufanyia mabadiliko makubwa ya sheria ya umilikaji silaha ili kuwa na masharti magumu sana ya mtu kupata kibali cha kumiliki silaha. Siyo jambo rahisi, kwa kuzingatia nguvu walizonazo wamiliki wa viwanda vya kutengeneza silaha na kile chama cha wamiliki silaha, lakini inawezekana.
Huo Uguru wake amevumbuwa nini kwenye IT?
Poleni.Huu ni msiba.Haiwezekani. Silaha ni biashara kubwa kuliko unavyoijua Marekani. Wanatumia ushawishi wao wa kiuchumi kuwanunua wabunge ili kutetea biashara yao.
Angalia wafadhili wa kampeni za uraisi, utakuta wao ni sehemu kubwa ya chanzo cha hela za kampeni hivyo wanakuwa wamemuweka raisi kibindoni. Endapo hawakumuweka raisi kibondoni basi wabunge. Wengi wa wabunge wananufaika na mauzo ya bunduki kifedha, alafu pia, Marekani kama nchi inauza silaha duniani kote hivyo hawawezi kukubali biashara ife. Bepari anathamini hela kuliko uhai wako
Kwenye hii habari hakuna mahali wametanabaisha kuwa aliyeuawa ni mtanzaniaKuna Mtanzania kijana wa miaka 20 kapigwa risasi baada ya ajali na dogo mwingine wa miaka 19! Mmoja kafa na mwingine atanyongwa 🤔 habari mbaya sana wa Watanzania diaspora na wanajumuia wa Houston na Texas kwa ujumla. Hizi ni kati ya changamoto za kutafuta maisha
20-year-old shot and killed almost instantly by suspect after minor crash, FBCSO says
Authorities say the victim, who was driving, hit the shooter's car just moments before the teenage gunman reportedly opened fire.abc13.com
Kwani inashindikana nn kuwaambia warudishe silaha hizo kama tunavyofanya huku bongoWamarekani pale waliporuhusu matumizi ya silaha ni kama na akili zao ziliharibiwa na silaha hizo. Mana kila siku ni kupigana risasi mashuleni,masupermarket,makanisani nk. Kwakweli ni hali inatisha.
Wapi nimepinga? Nimekwambia tueleze uguru wake amefanya nini?Kama "WATASHA aka MABEBERU" wamemuamini mimi na wewe ni nani tupinge?
Marehemu wakati anaendesha gari yake aligonga gari nyingine ndipo aliyegongwa akaamua kumpiga risasi na kumuua aliyeigonga gari yake, hiyo ndiyo Marekani.Sijaelewa kabisa.
Embu fafanua vizuri