Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Miezi 3 tu jf inakupa jeuri ya kutukana Wazazi wako ! Hebu ngoja tuone utaishia wapiuvae shanga basi nizishikeshike mrembo.ila muambie mboe sije nabastola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miezi 3 tu jf inakupa jeuri ya kutukana Wazazi wako ! Hebu ngoja tuone utaishia wapiuvae shanga basi nizishikeshike mrembo.ila muambie mboe sije nabastola
Ingawa mimi si mwanachama wa chama cho chote cha siasa, hapa tuwe wakweli. Hapa wa kusifiwa ni Mhe. SSH ingawa imemchukua muda mrefu sana kufanya uamuzi sahihi ukizingatia Chawa wake walivyokuwa wamemtayarishia mazingira na sababu za kuzuia hayo maandamano. Lakini ameruka huo mtego! Pia juzi nimeona Rais wetu ameanza kutoa hotuba nzito. Nimewahi kuwalaumu wasaidizi wake kuwa wamsaidie kwa kuwatumia wabobezi wengi wa kila topic hapa nyumbani kumwandalia Rais wetu hotuba za kiwango cha Tanzania. Hotuba aliyotoa Rais KKKT Azania juzi ilikuwa ya viwango, iliandaliwa vizuri. Hongera Wasaidizi na Hongera Mhe. Rais.Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Soma vizuri sheria za JF Itakusaidia sanasawa mchumba wangu eryth
AminaAsante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Anayeonekana ni MuliroKwa hiyo kuna watu wazima kabisa wanajua huo ni utashi wa Muliro?
Jambo jema Sana hilimipango yote imekamilika
Angalia na aina ya uandishi wakeMiezi 3 tu jf inakupa jeuri ya kutukana Wazazi wako ! Hebu ngoja tuone utaishia wapi
Kwa uzoefu wangu WA miaka 14 hapa jamiiforums ukiona MTU anasema Mimi sio mfuasi au mwanachama WA chama cha siasa ujue huyo ni CCM! Aibu huwa zinawazidiIngawa mimi si mwanachama wa chama cho chote cha siasa, hapa tuwe wakweli
Uzoefu wako haukutishi. Mie sina chama hivi sasa wala sina sababu ya kukudanganya. Lakini nilikuwa TANU Youth League mwaka 1960, kabla Tanganyika haijapata uhuru.Kwa uzoefu wangu WA miaka 14 hapa jamiiforums ukiona MTU anasema Mimi sio mfuasi au mwanachama WA chama cha siasa ujue huyo ni CCM! Aibu huwa zinawazidi
Uzoefu wako haukutoshi!Uzoefu wako haukutishi. Mie sina chama hivi sasa wala sina sababu ya kukudanganya. Lakini nilikuwa TANU Youth League mwaka 1960, kabla Tanganyika haijapata uhuru.
Nimepatia Kabisa kumbe! Shukrani sanaUzoefu wako haukutishi. Mie sina chama hivi sasa wala sina sababu ya kukudanganya. Lakini nilikuwa TANU Youth League mwaka 1960, kabla Tanganyika haijapata uhuru.
Ndio huo huo nilionaoUzoefu wako haukutoshi!
Sema DJ anajua kumix mziki anawachezesha wenzake mitindo yote mpaka singeri wanaruka legeZiara za mama wataenda wale walamba asali tuu ila wanachama wa kawaida wataendelea kuangalia ndege kwa juu na kusema ndege ya baba ileeeeeeeee
Acha ujinga wewe kwani huoni nchi inakopelekwa!![emoji23][emoji23] Sasa jamani Chadema mnataka mpewe nn mbona kila kitu mnakilalamikia.? Au hii ruksa mlitaka mpewe na ccm ndio muamini au.?
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.[emoji419][emoji375]Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Nakubaliana na wewe kwenye huu ushauri mkuu maana ccm hasa ccm njaa roho zinawauma.Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania