Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Katibu mwenezi atakuwa amevimbiwa kwa chuki na roho mbaya aliyo fundishwa na Jiwe kuichukia CDM.Haya Maandamano ni kwa Watanzania wote lakini tuwe makini na wale watakaotumwa na Katibu mwenezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katibu mwenezi atakuwa amevimbiwa kwa chuki na roho mbaya aliyo fundishwa na Jiwe kuichukia CDM.Haya Maandamano ni kwa Watanzania wote lakini tuwe makini na wale watakaotumwa na Katibu mwenezi.
Ebu toka ndotoni wewe lumumba wahedimlosema wakati wa ban ya mikutano ya hadhara mnarudia tena kuhusu maandamano.....
friends,
siasa ni sayansi songa mbele ukipata fursa,
geuka yenu nyuma itawaangamiza kisiasa,
na kujistukia kwenu kunawachelewesha sana kupiga hatua. be focused, bold, committed and not confused....
Ujumbe umefika kwa walengwa maana usiku wa leo hawakulala wapo jfKatiba iheshimiwe kuto kufuwata katiba hakuna masilahi kwa yoyote zaidi ya hao viogozi wasio juwa wajibu wao. Kuto kufuwata katiba Kuna madhara makubwa kwa watanzania wote. Kuto heshimu katiba ndio kunako msababisha elimu mbovu, uchumi mbovu, afya mbovu, mishahara mbovu kwa polisi na watumishi wote.
Hujaelewa mleta uzi nini amemaanisha[emoji23][emoji23] Sasa jamani Chadema mnataka mpewe nn mbona kila kitu mnakilalamikia.? Au hii ruksa mlitaka mpewe na ccm ndio muamini au.?
Kama umechukia rudi kwenu RwandaMlitaka mikutano mkakubaliwa , meomba mandamano mmekubaliwa sasa tunasubiliaa muombe kwende ziara na mama ulaya
Tatizo bashiteMaandamano ni haki ya msingi ya kikatiba.
Cha msingi ni Chadema kufuata maelekezo ya polisi na polisi nao kufuata sheria kulinda watu na mali zao.
Huu ni mtihani wa kwanza kwa waandamanaji na polisi wa Tanzania na waenda kuweka historia.
Na pia ni “political gamble” kwa serikali ya Tanzania na CCM.
Pamoja na uchawa wako ndege zinazompeleka mama ulaya unaishia juzionea angani huna ubav hata wa kuisogelea na ukijitahidi sana utaishia kupanda fuzo uchanganyike na vitimotoMlitaka mikutano mkakubaliwa , meomba mandamano mmekubaliwa sasa tunasubiliaa muombe kwende ziara na mama ulaya
Rais anaendelea na Ziara Indonesia na VP wa Cuba Yuko Nchini.Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Hii ilikua funika kombe mwanaharamu apiteIla huyu rpc wala hastahili pongezi zozote maana yeye hana maamuzi yoyote yale juu ya maandamano ya CDM.
Mimi nilishamuweka kwenye ignore listAcha ujinga wewe kwani huoni nchi inakopelekwa!!
Na sisi tutakuwepo kwani hamtaki tuje?Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Hatuna ubaguzi, karibuni! Hili sio kwa ajili ya CHADEMA bali ni kwa ajili ya nchi na vizazi vijavyoNa sisi tutakuwepo kwani hamtaki tuje?
Yanahusu nini hayo maandamano?Hatuna ubaguzi, karibuni! Hili sio kwa ajili ya CHADEMA bali ni kwa ajili ya nchi na vizazi vijavyo
Basi kaa nyumbani upikie Wajukuu! TuliaYanahusu nini hayo maandamano?
Mimi napenda tu maandamano, hata ile ya Yanga na Simba wakishinda nikiwakuta najiunga nao, sijali ni simba au Yanga. Just for fun.
Mko wachache sana to exert any pressureAsante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Polisi ndio wenye jukumu la ulinzi.Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.
Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.
IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
SawaMko wachache sana to exert any pressure