Tumeruhusiwa kuandamana ila CCM hawana amani, tahadhari iwepo! Soma hapa

Tumeruhusiwa kuandamana ila CCM hawana amani, tahadhari iwepo! Soma hapa

mlosema wakati wa ban ya mikutano ya hadhara mnarudia tena kuhusu maandamano.....

friends,
siasa ni sayansi songa mbele ukipata fursa,

geuka yenu nyuma itawaangamiza kisiasa,

na kujistukia kwenu kunawachelewesha sana kupiga hatua. be focused, bold, committed and not confused....
Ebu toka ndotoni wewe lumumba wahedi
 
Katiba iheshimiwe kuto kufuwata katiba hakuna masilahi kwa yoyote zaidi ya hao viogozi wasio juwa wajibu wao. Kuto kufuwata katiba Kuna madhara makubwa kwa watanzania wote. Kuto heshimu katiba ndio kunako msababisha elimu mbovu, uchumi mbovu, afya mbovu, mishahara mbovu kwa polisi na watumishi wote.
Ujumbe umefika kwa walengwa maana usiku wa leo hawakulala wapo jf
 
Maandamano ni haki ya msingi ya kikatiba.

Cha msingi ni Chadema kufuata maelekezo ya polisi na polisi nao kufuata sheria kulinda watu na mali zao.

Huu ni mtihani wa kwanza kwa waandamanaji na polisi wa Tanzania na waenda kuweka historia.

Na pia ni “political gamble” kwa serikali ya Tanzania na CCM.
Tatizo bashite
 
Mlitaka mikutano mkakubaliwa , meomba mandamano mmekubaliwa sasa tunasubiliaa muombe kwende ziara na mama ulaya
Pamoja na uchawa wako ndege zinazompeleka mama ulaya unaishia juzionea angani huna ubav hata wa kuisogelea na ukijitahidi sana utaishia kupanda fuzo uchanganyike na vitimoto
 
Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.

Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.

IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Rais anaendelea na Ziara Indonesia na VP wa Cuba Yuko Nchini.

Nani ana shida na maandamano ya kijinga?

View: https://www.instagram.com/p/C2d5GpaC_lM/?igsh=MWRlbWJ3eGhsNWowNg==

Mwisho ule utabiri wako mbona siku hizi hatuuoni tena? 😁😁
 
Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.

Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.

IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Na sisi tutakuwepo kwani hamtaki tuje?
 
Hatuna ubaguzi, karibuni! Hili sio kwa ajili ya CHADEMA bali ni kwa ajili ya nchi na vizazi vijavyo
Yanahusu nini hayo maandamano?

Mimi napenda tu maandamano, hata ile ya Yanga na Simba wakishinda nikiwakuta najiunga nao, sijali ni simba au Yanga. Just for fun.
 
Yanahusu nini hayo maandamano?

Mimi napenda tu maandamano, hata ile ya Yanga na Simba wakishinda nikiwakuta najiunga nao, sijali ni simba au Yanga. Just for fun.
Basi kaa nyumbani upikie Wajukuu! Tulia
 
Yanahusu nini hayo maandamano?

Mimi napenda tu maandamano, hata ile ya Yanga na Simba wakishinda nikiwakuta najiunga nao, sijali ni simba au Yanga. Just for fun.
IMG-20240124-WA0011.jpg
IMG-20240124-WA0010.jpg
IMG-20240124-WA0009.jpg
IMG-20240124-WA0008.jpg
IMG-20240124-WA0007.jpg
IMG-20240124-WA0006.jpg
IMG-20240124-WA0005.jpg
IMG-20240124-WA0005.jpg
IMG-20240124-WA0004.jpg
IMG-20240124-WA0003.jpg
IMG-20240124-WA0002.jpg
 
Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.

Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.

IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Mko wachache sana to exert any pressure
 
Asante Kamanda Muliro, asante kwa kupevuka kiakili na kimtazamo. Tutaandamana kwa Amani, Tanzania ni yetu sote.

Wito Wangu kwa CHADEMA, mjue kabisa CCM hawana radhi na hili na hivyo basi, tahadhari zichukuliwe, wasije wakapandikizwa Watu wabaya, wakafanya Mambo Mabaya, zigo likadondoshewa CHADEMA.

IKIWEZEKANA tuwe na Drones na ziwe linked na online devices kwa ajili ya storage, hujuma huenda zikatokea baada ya maandamano ili wasiweze kudhibitiwa. Ni Hilo Tu MUNGU ibariki CHADEMA, MUNGU ibariki Tanzania
Polisi ndio wenye jukumu la ulinzi.
 
Back
Top Bottom