Tumesahau alichofanywa Dkt. Ulimboka, Mwangosi na Said Kubenea. Nchi hii ni ya kinafiki sana

Nimemwambia nani anyamaze?

Nmemwambia mbali na kukosoa ila atafute hela aondokane na umasikini unaomsababishia kuwa na stress na kuandika vitu vya kijinga
Wewe ndiye maskini ndiyo maana umejipa kazi ya kumsifia mwenda zake ukitegemea utateuliwa, safari hii teuzi za kimalaya malaya mlizozoea enzi ya mwendazake hakuna. Sisi tulishazoea kuishi bila mbeleko na maisha tumeyapatia kitambo tu.
 
Ccm pia imewapa vyeo wapinzani
 
Na Dr Sengondo Mvungi je?

Na kubenea na Boss wa GSM na sakata la tindikali je?
Segondo mvungi ni vibaka,,,boss wa GSM ni mauhasama labda mambo ya kibiashara,,,kubenea yule ni afiea kipenyo sasa sijui aliudhi nani,,
Kumbuka na chadema enzi hizo pia walikua na mbinu za kuteka,ile kashifa ya slaa kutuma watu wakamteke jamaa gani sijui,,
Kiufupi,kuna special interest groups pande zote mbili zilikua zina operate with impunity
 
Acha kujisumbua wewe, kaa ukijua kuwa 80% ya Watz akili zao wanazijua wenyewe, wamejaa ujinga hadi wanatisha..
 
Marais wote duniani wana power sana kisheria,ndo maana za kuitwa Rais au mfalme,,ana mamlaka ya kutangaza vita,kusaini hukumu za vifo na hata kuamuru mtu awe eliminated iwapo maslahi ya nchi yanatishiwa,,mamlaka yanaruhusu,,sasa hapo inategemea hekima za kiongozi,husika,,
Kiongozi wa nchi hawezi kuona wananchi wanapoteza maisha kwa ajili ya mtu mmoja au kikundi cha watu wachache,,kuna redline ukivuka hata mtu awe mwanademokrasia kiasi gani,,atakupoteza tu,na hii iko dunia nzima..
 
Namaanisha kuelekea 2015 watanzania waliikataa ccm na kikwete. ikapelekea kikwete kuangushwa kwenye uchaguzi yaliyoendelea baada ya uchaguzi ni historia
Umekosea,2015 aligombea chuma sio jk
 
Unaongelea watz hawa waliojaa unafiki, hata Rais akiwa Kingwendu utawaona wanavyosifia kama mazuzu. Wanaojiita wasomi sasa ndio balaa kusifu mwanzo mwisho
 
Ni kweli kabisa rais ni cheo kikubwa sana, ukimchezea unashughulikiwa tena na watu ambao hata yeye mwenyewe pengine hafahamu sura zao zinafananaje.

Kombe wa usalama wa taifa alinyoosha mikono kukubali akamatwe lakini wapi, waliotumwa wakimpelekea shaba na kummaliza.

Apson alichukuliwa mzobe mzobe kutoka pale mbezi beach na kwenda kufungiwa oysterbay baada ya JK kuchukua nchi.

Mzee Mwinyi alikuwa muungwana sana, ilikuwa vigumu kwa watu kuzichezea hasira zake. Mkapa mpaka aliomba msamaha kwa yale yaliyotokeaa visiwani Zanzibar.

Nyerere enzi zake pale wizara ya mambo ya ndani ukipita barabarani ulikuwa unaviona vibanda fulani vya mbao zenye rangi nyekundu, kuna muda unasikia sauti za watu wanaolia wakiwa wanapokea mateso.

Siungi mkono unyama wa viongozi lakini upo, rais ni cheo kikubwa sana. Madonna aliongea shombo kumhusu Trump mamlaka za kipolisi zikamwambia afute kauli na akaifuta.
 
ongea utakavyoweza, ila kamwe huwezi fananisha wakt wa kikwete na magufuli, ni sawa na kufananisha moto wa kibatari na moto wa gesi..
 
ongea utakavyoweza, ila kamwe huwezi fananisha wakt wa kikwete na magufuli, ni sawa na kufananisha moto wa kibatari na moto wa gesi..
Na aliyempitisha Urais Magufuli ni nani? 😁😁😁😁
 
Tena huyu ndio muasisi wa yote haya katuachia uozo mkubwa. Japo ukimlinganisha na hawa kenge maji he is far better. But trust me we have been brainwashed for decades kuhusu JKN. Dig deep na ruhusu akili yako kuwa flexible and elastic utagundua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…