Tumeshapata pa kuanzia kuhusu ghorofa kuanguka Kariakoo

Tumeshapata pa kuanzia kuhusu ghorofa kuanguka Kariakoo

Kwa mtu aliye elimika lazima uwe na 'definition' yako; ndio maana huwa tuna 'criticize definitions' za wengine na kuja na zetu; na wewe unatakiwa uni 'criticize' uje na ya kwako, na si kukariri za wengine.​
Mbona hii lugha ya Kiswahili na hizi herufi hujaja na lugha ya kwako na herufi zako, mbona unatumia lugha na herufi na maneno ya wengine au ni kwenye definition tu? Na mlikubaliana na nani hivyo?
 
Huwa tunasumbuka ku'define' imani. Actually, imani ni 'trust' uliyonayo kuhusu mtu, jambo fulani au deity. Ukitoka nyumbani asubuhi kwenda ofisini mjini na kisha baada kazi, kwa nini tunarudi nyumbani? Ni kwa sababu unaamini nyumbani kwako kuko kama ulivyokuacha asubuhi na ndiyo maana unarudi bila wasiwasi na wala huwezi kukosea njia, unless kama njia uliyoitumia Ina matengenezo ya dharura na kuna divergence. Kwangu mimi hii ni aina moja ya imani - firm conviction/trust kwamba unarudi nyumbani na utakuta kila kitu kikiwa kama ulivyokiacha.
Ulishawahi kujiuliza, kwa nini wakoloni walituletea imani ya kidini?
 
Mbona hii lugha ya Kiswahili na hizi herufi hujaja na lugha ya kwako na herufi zako, mbona unatumia lugha na herufi na maneno ya wengine au ni kwenye definition tu? Na mlikubaliana na nani hivyo?
Hii inaweza kuwa ni sababu, kwa nini vyuo vikuu vingi duniani vinatumia vitabu vya waandishi kutoka huko ulimwenuguni kama rejea.
 
Ulitaka atabiri kifo chakoo mkuu huyu ndio habariyamujini hapa naulizia kanisalake.likowapi

Tb Joshua alitabiri vifoo .
Maafa ya maporomoko
Maafa ya maji nchi kadhaa
Hata mmmoja wa viongozi alitabiwa kwendaaaa

Jifunze kuishi na unabii na kuufanyia kazo ukicheka nao unakukulkulaa
Mwisho na yy akajitabiria hahaa wafuasi mnaraha nyie wazee wa miujiza
 
Achana na imani za matambiko iliyokuwepo na baadaye kufutika kutokana na tamaduni za kigeni; je hizi walizoleta wakoloni walikuwa na malengo yapi?
Wakoloni hawakuleta dini, Christianity mfano, ililetwa na wamisionari. Wakoloni ni wale waliokuwa na mamlaka ya kiutawala (had political/military power). Missionaries did not have political or military power. They didn't report to any political or military power/authority.
 
Wakoloni hawakuleta dini, Christianity mfano, ililetwa na wamisionari. Wakoloni ni wale waliokuwa na mamlaka ya kiutawala (had political/military power). Missionaries did not have political or military power. They didn't report to any political or military power/authority.
Nikijaribu kukumbuka historia, kuja kwa wamisionari ilikuwa ni kusafisha njia ya kuja kwa wakoloni.

Ilikuwa ni kupunguza ugumu wa kutokutawalika, kwa kuwajengea hofu, ndio maana wanasema ukipigwa shavu la kushoto, mgeuzie na la kulia.

Maana yake uwe mpole kwa lolote.

Swali; ulishawahi kunyoosha mkono juu ukiwa kwenye nyumba ya ibada na ukauliza kuhusu mapato na matumizi ya sadaka?​
 
Nikijaribu kukumbuka historia, kuja kwa wamisionari ilikuwa ni kusafisha njia ya kuja kwa wakoloni.

Ilikuwa ni kupunguza ugumu wa kutokutawalika, kwa kuwajengea hofu, ndio maana wanasema ukipigwa shavu la kushoto, mgeuzie na la kulia.

Maana yake uwe mpole kwa lolote.

Swali; ulishawahi kunyoosha mkono juu ukiwa kwenye nyumba ya ibada na ukauliza kuhusu mapato na matumizi ya sadaka?​
Hapana, kwa sababu malengo yao yalikuwa tofauti. Kama lengo lao lingekuwa moja, baada ya nchi za Afrika kupata uhuru wamisionari nao wangeondoka. Kwa nini wao walibaki, kama mission yao ilikuwa moja? Si wakuu wao kiutawala wangewaamuru warudi makwao?
 
Sasa kama kaonyeshwa hivyo kosa lake liko wapi: kuonyesha jinsi jambo fulani litakavyotokea au kusema kwamba kaonyeshwa litatokea hivyo? Kama kutabiri ni vibaya, unasema nini kuhusu utabiri wa hali ya hewa?
Huyu hajatabiri wala nini. Amesikika kusema ameona jengo amelitaja na jina na wapi lilipo. Tutofautishe kuona na kutabiri. Tungesema ametahadharisha.
 
Watu kama hawa ndio wakukamata acheni kuhangaika na Mbowe, hakuna cha unabii wala nini ahojiwe inawezekana kuna Siri anazijua nyingi anajifanya nabii.

Kashaona Yule alietabiri mwezi wa pili kua kutaanguka jengo kkoo mwisho wa mwaka huu naye anaiga anataka kutrend.

Huu Uhuru WA kuabudu unaharibu mambo ndio maana kagame anafungia makanisa, inamaana hapo anaharibu hata biashara za watu waliopo kwenye hilo jengo wateja wataogopa kwenda.

View attachment 3159151
Ukristo ni usanii
 
Hiyo video usikute ni baada ya tukio akajirekodi chap na kuiweka mtandaoni na huku wajinga wana isambaza tu
 
Back
Top Bottom