Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Nani aliwaambia mtalipwa fidia? Na mtalipwa na nani?Mmiliki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani aliwaambia mtalipwa fidia? Na mtalipwa na nani?Mmiliki
Itakuwa mlipewa mfanye shughuli zenu hapo kwa muda sio kuwa milikisha liwe lenuMmiliki
Nchi watu wanapendwa kudeka mtu unaenda kuvamia eneo ambalo ujatoa kipande cha shilingi kununua alafu mmiliki yupo anakuja unataka akulipe ahahahaah
Ndio lakini hatukupewa na huyo aliebomoa tulipewa na MMILIKIItakuwa mlipewa mfanye shughuli zenu hapo kwa muda sio kuwa milikisha liwe lenu
Tupige kura wakati tukikutwa na matatizo hao hao tunaowapigia kura hawana msaada wowoteMlipiga kura juzi au hayawahusu?
Acha kukurupuka kijana umesoma hizo attachments??????? Ni eneo la ROSTAM AZIZIHilo ni eneo la world oil bila shaka, hii si mara ya kwanza kuvunjiwa mabanda hapo ila watu hawakomi kujenga na kuweka biashara, mlifuata utaratibu?
World Oil mwenyeweNani aliwaambia mtalipwa fidia? Na mtalipwa na nani?
Huyo WO anasema eneo kauziwa na naniNdio lakini hatukupewa na huyo aliebomoa tulipewa na MMILIKI
Hasemi kauziwa ila anasema tu tutoke kwenye sehemu yake. Na ROSTAM anasema hiyo sehemu tusitolewe kwasababu yeye ndio MMILIKI na Hana Taarifa za Hilo eneo kumilikiwa na worl oilHuyo WO anasema eneo kauziwa na nani
Sasa wangekua wanawapa taarifa kua tunataka eneo letu lasivyo tunabomoa mabanda yenu.Hilo ni eneo la world oil bila shaka, hii si mara ya kwanza kuvunjiwa mabanda hapo ila watu hawakomi kujenga na kuweka biashara, mlifuata utaratibu?
Na walibomoa usiku huku tukiwa tumeshakubaliana atulipe fidia, lakini suddenly kaja kubomoaSasa wangekua wanawapa taarifa kua tunataka eneo letu lasivyo tunabomoa mabanda yenu.
Sasa kufanya hivyo usiku ndo nn?
ROSTAM AZIZ aliwauzia? Au aliwaruhusu tu kwa hisani yake?Aisee watu mnapenda kukurupuka sana, hivi we Kwa akili Yako unahisi mtu aende avamie sehemu hajui ya nani aanze kufanya biashara Tena ya pesa kubwa?????
Hii sehemu ni ya ROSTAM AZIZI.
NA kama mmesoma vizuri hapo hatimiliki ni jina la ROSTAM AZIZI, na sisi yeye ROSTAM ndio alikabidhi hii sehemu kwetu. Baadae jirani na sehemu hii ya ROSTAM ambapo ndio tunafanyia biashara akawa amenunua World Oil. Mara ghafla akaja anatwambia hii sehemu tulipo pia ni ya kwakwe, swali hii sehemu inakuwaje ya kwakwe wakati alietukabidhi hapa ni ROSTAM AZIZI?????
Kuja kufuatilia tukaambiwa ROSTAM na world Oil wana mvutano, na ndo maana Huyu MMILIKI WA WORD OIL anasema hii sehemu ni yake tuondoke.
Sasa na sisi kama wafanyabiashara hatukutaka kero tukakubaliana nae atulipe fidia tuondoke yeye akamalizane na ROSTAM Sasa inakuwaje badala ya kutulipa yeye anatuma watu wabomoe?????
Siku nyingine muwe mnasoma na kuelewa sio mnakimbilia kusema msoyajua
ommytk
chiembe
Msigazi Mkulu
Yoda
Na wengine punguzeni ujuaji
Liwe lake au la mwingine sio lakwenu, ilo eneo watu walishavunjiwa na hii sio mara ya kwanza lakini bado likibaki wazi baada ya muda watu wanaliingilia na kufanya biashara.Acha kukurupuka kijana umesoma hizo attachments??????? Ni eneo la ROSTAM AZIZI
Wewe ni mjuaji na mbishi. Ungesoma huu Uzi vizuri na ukasona hiyo hatimiliki ukaona jina linasoma nani ungeelewa.Liwe lake au la mwingine sio lakwenu, ilo eneo watu walishavunjiwa na hii sio mara ya kwanza lakini bado likibaki wazi baada ya muda watu wanaliingilia na kufanya biashara.
Ina onekana mlipewa kwa ushawishi wa RA ila lina mgogoro ambao hata nyie hamu ujuiHasemi kauziwa ila anasema tu tutoke kwenye sehemu yake. Na ROSTAM anasema hiyo sehemu tusitolewe kwasababu yeye ndio MMILIKI na Hana Taarifa za Hilo eneo kumilikiwa na worl oil
Eneo ni la rostam au World oil? Kama eneo liliuzwa kwa world oil mmiliki ndio huyo.Aisee watu mnapenda kukurupuka sana, hivi we Kwa akili Yako unahisi mtu aende avamie sehemu hajui ya nani aanze kufanya biashara Tena ya pesa kubwa?????
Hii sehemu ni ya ROSTAM AZIZI.
NA kama mmesoma vizuri hapo hatimiliki ni jina la ROSTAM AZIZI, na sisi yeye ROSTAM ndio alikabidhi hii sehemu kwetu. Baadae jirani na sehemu hii ya ROSTAM ambapo ndio tunafanyia biashara akawa amenunua World Oil. Mara ghafla akaja anatwambia hii sehemu tulipo pia ni ya kwakwe, swali hii sehemu inakuwaje ya kwakwe wakati alietukabidhi hapa ni ROSTAM AZIZI?????
Kuja kufuatilia tukaambiwa ROSTAM na world Oil wana mvutano, na ndo maana Huyu MMILIKI WA WORD OIL anasema hii sehemu ni yake tuondoke.
Sasa na sisi kama wafanyabiashara hatukutaka kero tukakubaliana nae atulipe fidia tuondoke yeye akamalizane na ROSTAM Sasa inakuwaje badala ya kutulipa yeye anatuma watu wabomoe?????
Siku nyingine muwe mnasoma na kuelewa sio mnakimbilia kusema msoyajua
ommytk
chiembe
Msigazi Mkulu
Yoda
Na wengine punguzeni ujuaji