🤣🤣🤣na safari hii atapigiwa hadi na mataifa mengineHuyu ataiba kura hata za online atashinda tu hakuna haja kumpigia.
AhahahahaHuyu ataiba kura hata za online atashinda tu hakuna haja kumpigia.
Naona wameshaweka mfumo wao ukipiga mara moja huwezi kurudia tena. Nadhani wanarekodi IP addressNdio inabidi tumpigie kura kwa wingi
Amezipata kwa watanzania 84%, waEAC, waSADC, waCENTRAL, WEST na NORTH AFRICAHiyo 56% kaipata wapi? au lumumba mme hack hiyo account mkaweka namba zenu kama kawaida yenu!
Inawezekana hizo kura zilikuwa na Nana A. Addo.
Demokrasia ndio inatakiwa kupigiwa kura, sio Bombardier zilizo-park.
Kumbe ndio maana, sasa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.Naona wameshaweka mfumo wao ukipiga mara moja huwezi kurudia tena. Nadhani wanarekodi IP address
Labda za wizi,🤣🤣🤣na safari hii atapigiwa hadi na mataifa mengine
Kama hili shindano ni la kweli, mwenye kustahili ushindi huo itakuwa ni Nana Addo wa Ghana, ktk vigezo vyote vya utawala bora hakuna anayeweza kumfikia. Tuache unafiki kwa kuwa hata madonda ya rafu za uchaguzi uliopita na madhira yake bado hayajapona.Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Africa wa mwaka.
Rais magufuli anashindaniswa na marais wa Djibouti. Afrika kusini .Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Sijawahi kumwamini yeyote katika maisha yangu, Ila naomba Wana Lumumba tuendelee kuaminiana. Asanteni kwa kunielewa.Hiyo 56% kaipata wapi? au lumumba mme hack hiyo account mkaweka namba zenu kama kawaida yenu!
Inawezekana hizo kura zilikuwa na Nana A. Addo.
Kumbe ndio maana, sasa kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake.