sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,496
- 8,491
Kwakweli.Maajabu hayatakaa yaishe dunian,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli.Maajabu hayatakaa yaishe dunian,
Labda umpigie wewe, mie na mke wangu kamwe kama watz wazalendo hatutakubali!.
Aisee nimecheka sana aisee Nina piga kinywaji chakula hadi kimenipalia na hapo hamna haja ya kungalia % atapiga apendavyo😂🤣🤣🤣na safari hii atapigiwa hadi na mataifa mengine
Itatusaidia nini?Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Africa wa mwaka.
Rais magufuli anashindaniswa na marais wa Djibouti. Afrika kusini .Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Nijuavyo watanzania tuu wanafiki, hivyo chochote sikiamini na namna na kwaKama hili shindano ni la kweli, mwenye kustahili ushindi huo itakuwa ni Nana Addo wa Ghana, ktk vigezo vyote vya utawala bora hakuna anayeweza kumfikia. Tuache unafiki kwa kuwa hata madonda ya rafu za uchaguzi uliopita na madhira yake bado hayajapona.
Keshapita bila kupingwa kwa kura 99.9
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Unge ongezea aka covid 19
Ngoja nimpigie Nana.Kama hili shindano ni la kweli, mwenye kustahili ushindi huo itakuwa ni Nana Addo wa Ghana, ktk vigezo vyote vya utawala bora hakuna anayeweza kumfikia. Tuache unafiki kwa kuwa hata madonda ya rafu za uchaguzi uliopita na madhira yake bado hayajapona.
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂 anapiga hadi achokeAisee nimecheka sana aisee Nina piga kinywaji chakula adi kime nipali na hapo amna haja ya kungalia % atapiga apendavyo😂
Maliza Kula unywe🍷Unge ongezea aka covid 19
Kupiga kura ni mara moja tu. Labda uwe na simu nyingi kama kocha wa JKT Ruvu😂😂😂😂😂😂 anapiga hadi achoke
Daudi ndio nini hiyo sasa🙄Nimempigia kura 10 huyo Nana Akufo
Aisee acha tu nimecheka nilipo fikiria hivyo nilikuwa nina piga changamoto na kinywaji triple dah nimecheka sana ndugu 😂😂😂😂😂😂😂😂 anapiga hadi achoke
vyote kwa pamoja kuna chakula wanaita changa moto Maana cha motoMaliza Kula unywe🍷