Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Nimeangalia Twitter kwenye post waliyomtaja Rais Magufuli, dah...kazi ipo. Kwanza ni post yenye comment nyingi kuliko zote walizotuma. Nadhani hata waandaaji watashtuka
Lazima washangae maana watajua wanavyomjua sio anavyojulikana na watanzania.