Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Muda mrefu yaani, na mke wangu alikuwa analeta shobo na yeye nikamwambia fungua link, nimefuatilia mpaka kampigia rais wa Ghana. Uzuri wa hizo kura sio siri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lazima washangae maana watajua wanavyomjua sio anavyojulikana na watanzania.
Wanaona watu wanauhuru wao wa kusema japo wanalialia eti wamebanwa
 
Lazima washangae maana watajua wanavyomjua sio anavyojulikana na watanzania.
Na "kunyamazisha" mawazo mbadala ndani ya nchi hayasaidii hata kidogo. Watu watatafuta tu kila mwanya waonyeshe hisia zao. Ni hulka ya kila binadamu. Huu ni mfano tu.
 
AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR

(Formerly: ALM Person of the Year 2020 – Political Leadership)
This recognition is open to an African, whose contribution has immensely contributed to deepening democracy and democratic values in the continent.

UKISOMA HAYO MAELEZO KISHA UKAPIGA KURA UTAMPIGIA NANI?
 
Kwani nchi nyingine hazina ujenzi wa nchi? Ama ni lini ujenzi wa nchi kwenye nchi hii uliwahi kusimama?
Hakuna inchi ilipiga hatua kubwa za ujenzi kama sisi fatilia report
 
Pole. Subiri kuteuliwa.
 
Nimeangalia Twitter kwenye post waliyomtaja Rais Magufuli, dah...kazi ipo. Kwanza ni post yenye comment nyingi kuliko zote walizotuma. Nadhani hata waandaaji watashtuka
Umaarufu wa Magu ni mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…