liwe fundisho kuwa Mitandao inasaidia kila kitu na kupata ukweliJaribu tena mara tatu au nne unafunguka bofya hapo ktk reload
Hakuna kitu chochote zaidi ya kuwa mnaongozwa na chuki.hapa LISU katoka wapi tena,wanachokiona watu hapa wetu hana hizo sifa ndio maana wameamua kupigia kura ugenini huelewi nini sasa
AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR
This recognition is open to an African, whose contribution has immensely contributed to deepening democracy and democratic values in the continent.
hebu fungua akili yako ondoa unafiki wote na ushabiki, kisha nikupe box la kura upige utampigia Brother? pamaoja na kuwa ni ndugu yetu?
Hii ya zamani kwa sasa Tanzania imeamka watakoma sasaliwe fundisho kuwa Mitandao inasaidia kila kitu na kupata ukweli
sasa Utawala unabana kila kona, kuna siku Malaika watashuka huku TCRA imebana Twitter na mtandao km hii, kwanini mtu usiende kujisaidia choo cha jirani?
View attachment 1666703
HapanaNana addo si ndo amejiongezea muhula wa kugombea Ghana?
Mkuu kapige kura. Acha uchama!Hatutampigia kura ng'ooo
Ok..Ni kweli hasa baada ya kuwaona ndugu zangu wakitekwa na kuuliwa bila sababu! For your info nina undugu na Ben saanane!
Ni kweli nimeathirika hasa baada ya kuona waliotakiwa kustaafu kwe heshima baada ya miaka 30 ya kazi zenye mafanikio! wakifukuzwa kama mbwa eti vyeti feki!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona wafanyabiashara wakinyang'anywa fedha bank bila taarifa au kwa visingizio tu!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona watu wazima wasomi wakisifu wizi kwenye uchaguzi.
Hapa nyamongo waliofidiwa hela walizongoja kwa miongo kadhaa wamenyang'anywa na TRA kwa kutishwa tu!
ASIYE NA UBINADAMU AU ALIYE KWENYE TRANSITION YA KUWA BINADAMU HUYO HATAONA SHIDA/HATAATHIRIKA ATAKUWA KWENYE COMFORT ZONE!
Narudia tena nimpigie kura huyu huyu?
Ni kweli hasa baada ya kuwaona ndugu zangu wakitekwa na kuuliwa bila sababu! For your info nina undugu na Ben saanane!
Ni kweli nimeathirika hasa baada ya kuona waliotakiwa kustaafu kwe heshima baada ya miaka 30 ya kazi zenye mafanikio! wakifukuzwa kama mbwa eti vyeti feki!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona wafanyabiashara wakinyang'anywa fedha bank bila taarifa au kwa visingizio tu!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona watu wazima wasomi wakisifu wizi kwenye uchaguzi.
Hapa nyamongo waliofidiwa hela walizongoja kwa miongo kadhaa wamenyang'anywa na TRA kwa kutishwa tu!
ASIYE NA UBINADAMU AU ALIYE KWENYE TRANSITION YA KUWA BINADAMU HUYO HATAONA SHIDA/HATAATHIRIKA ATAKUWA KWENYE COMFORT ZONE!
Narudia tena nimpigie kura huyu huyu?
Vieite.Mnazionea v8
We ulisikia wapi?Nana addo si ndo amejiongezea muhula wa kugombea Ghana?
Najua akili yakoalishaondoka nayo LissuNi kweli mkuu.
Hata Nyerere ni maarufu, Mandela ni maarufu, Hitler ni maarufu, Desmond Tutu ni maarufu, Mobutu Seseko ni maarufu, Darwin ni maarufu, Da Vinci ni maarufu, Chinua Achebe ni maarufu, na kadhalika, na kadhalika.
Swali: Umaarufu kwa lipi?
Kina kigogo ndio vichwa?Twitter Ina vichwa. Wamem expose Hadi aibu.
Jibu swali rahisi hiloNajua akili yakoalishaondoka nayo Lisu
Hamasisheni chadema nzima mumpigie wa Ghana, bila shaka Lisu sasa atakuwa raisPunguza jazba mataga.