Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Jaribu tena mara tatu au nne unafunguka bofya hapo ktk reload
liwe fundisho kuwa Mitandao inasaidia kila kitu na kupata ukweli
sasa Utawala unabana kila kona, kuna siku Malaika watashuka huku TCRA imebana Twitter na mtandao km hii, kwanini mtu usiende kujisaidia choo cha jirani?
1609687439932.png
 
hapa LISU katoka wapi tena,wanachokiona watu hapa wetu hana hizo sifa ndio maana wameamua kupigia kura ugenini huelewi nini sasa
AFRICAN POLITICAL LEADER OF THE YEAR
This recognition is open to an African, whose contribution has immensely contributed to deepening democracy and democratic values in the continent.
hebu fungua akili yako ondoa unafiki wote na ushabiki, kisha nikupe box la kura upige utampigia Brother? pamaoja na kuwa ni ndugu yetu?
Hakuna kitu chochote zaidi ya kuwa mnaongozwa na chuki.
 
Mnazionea v8
Bado sita magroup ya uvccm yameamka hata vpn itatumika maana hakuna namna cha msingi ushindi tena wa kishindo kabra ya tarehe 8 watakuwa ameshaelewa mchezo sisi ndio wachinjaji
 
liwe fundisho kuwa Mitandao inasaidia kila kitu na kupata ukweli
sasa Utawala unabana kila kona, kuna siku Malaika watashuka huku TCRA imebana Twitter na mtandao km hii, kwanini mtu usiende kujisaidia choo cha jirani?
View attachment 1666703
Hii ya zamani kwa sasa Tanzania imeamka watakoma sasa
 
Wewe mbona unatudanganya wakati kule ameshindwa haongozi kama unavyosema?msemakweli mpenzi wa Mungu
 
Wewe mbona unatudanganya wakati kule ameshindwa haongozi kama unavyosema?msemakweli mpenzi wa Mungu
Utakuwa umevurugwa hizi asilimia zinapanda na kushuka
 
Nana addo si ndo amejiongezea muhula wa kugombea Ghana?
Hapana

Rais Nana Akufo Addo, wa Ghana ameshinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo, kwa kupata asilimia 51.6 ya Kura, dhidi mpinzani wake wa karibu, Rais wa Zamani wa taifa hilo, John Mahama aliyepata asilimia 47.4 ya kura zote.

Mwenyekiti wa Tume ya taifa ya Uchaguzi Ghana, Jena Mensa, ndiye aliyetangaza matokeo mjini Accra

Rais Akufo Addo ametetea nafasi yake hiyo,dhidi ya mpinzani wake huyo ambaye tangu awali alionyesha wasiwasi wake wa kutumika kwa nguvu ya Jeshi kwenye uchaguzi huo.

Bwana Mahama amelalamikia wizi wa kura. Akiongea muda mfupi baada ya tangazo hilo, Rais Akufo Addo amewashukuru raia kwa kumchagua.

"Nimeguswa tena sana na kuaminiwa nanyi na sichukulii hili kuwa jambo dogo...labda ipo tabia ya kuwa rais aliyepo madarakani akichaguliwa tena muhula wa pili anachukulia hilo kiurahisi na kuanza kupumzika ...lakini mimi ni wa tofauti.

Ninawashukuru sana , Waghana wenzangu kwa ushindi huu".

Ingawa Mahama hajakubaliana na matokeo hayo.

Hii ni mara ya pili kwa wapinzani hawa wa kisaiasa kukabiliana katika uchaguzi mkuu wa rais.

Ghana inasifika kuwa taifa lenye demokrasia barani Afrika.

Matokeo ya wabunge hayajatangazwa bado lakini yanatarajiwa kukaribiana pia.

Awali polisi walisema kulikuwa na kesi 21 wakati wa uchaguzi huo zinazohusiana na ghasia tangu Jumatatu, huku watu watano wakiwa wamefariki

Huu ni uchaguzi wanane wa urais tangu katiba ilivyoandikwa mwaka 1992.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ata mpinzani wa Akufo alikataa matokeo kwasababu anahisi aliibiwa kura..!! Alafu kukikuwa na machafuko hapo Ghana kabla ya uchaguzi na watu kadhaa walikufa na kesi 21 zikiwa mahakani zinahusu uchaguzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli hasa baada ya kuwaona ndugu zangu wakitekwa na kuuliwa bila sababu! For your info nina undugu na Ben saanane!
Ni kweli nimeathirika hasa baada ya kuona waliotakiwa kustaafu kwe heshima baada ya miaka 30 ya kazi zenye mafanikio! wakifukuzwa kama mbwa eti vyeti feki!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona wafanyabiashara wakinyang'anywa fedha bank bila taarifa au kwa visingizio tu!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona watu wazima wasomi wakisifu wizi kwenye uchaguzi.
Hapa nyamongo waliofidiwa hela walizongoja kwa miongo kadhaa wamenyang'anywa na TRA kwa kutishwa tu!

ASIYE NA UBINADAMU AU ALIYE KWENYE TRANSITION YA KUWA BINADAMU HUYO HATAONA SHIDA/HATAATHIRIKA ATAKUWA KWENYE COMFORT ZONE!
Narudia tena nimpigie kura huyu huyu?
Ok..
Subiri uchaguzi 2025 utawambia wananchi kwenye kampeni eeeeh, sawa mkuu!
 
Ni kweli hasa baada ya kuwaona ndugu zangu wakitekwa na kuuliwa bila sababu! For your info nina undugu na Ben saanane!
Ni kweli nimeathirika hasa baada ya kuona waliotakiwa kustaafu kwe heshima baada ya miaka 30 ya kazi zenye mafanikio! wakifukuzwa kama mbwa eti vyeti feki!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona wafanyabiashara wakinyang'anywa fedha bank bila taarifa au kwa visingizio tu!
Ni kweli nimeathirika kisaikologia baada ya kuona watu wazima wasomi wakisifu wizi kwenye uchaguzi.
Hapa nyamongo waliofidiwa hela walizongoja kwa miongo kadhaa wamenyang'anywa na TRA kwa kutishwa tu!

ASIYE NA UBINADAMU AU ALIYE KWENYE TRANSITION YA KUWA BINADAMU HUYO HATAONA SHIDA/HATAATHIRIKA ATAKUWA KWENYE COMFORT ZONE!
Narudia tena nimpigie kura huyu huyu?

Unaona wanauliwa hata picha ya ushahidi hukupiga sasa tukusaidiaje??
 
Vijan wa lumumba washaMpa ushirikiaNo
 
Ni kweli mkuu.
Hata Nyerere ni maarufu, Mandela ni maarufu, Hitler ni maarufu, Desmond Tutu ni maarufu, Mobutu Seseko ni maarufu, Darwin ni maarufu, Da Vinci ni maarufu, Chinua Achebe ni maarufu, na kadhalika, na kadhalika.
Swali: Umaarufu kwa lipi?
Najua akili yakoalishaondoka nayo Lissu
 
Back
Top Bottom