Nasikia kuna magrup ya whatsap yameundwa kuhamasisha upigaji wa kura kwenye suala hili. Hebu yaongeze ushawishi tupindue meza kombe lije kwetu TanzaniaHatuna shida na hizo kura tuko bize tunafanya maendeleo..
Naongea uongo ndugu zanguu
Mkuu!! Acha siasa!!Nje ya kina mahera usijidanganye mkuu, yako maeneo mpaka vijijini lissu na jpm walikuwa wanazidiana kura kati ya 10 mpaka 15 nje ya uchafuzi mkuu
Ulielimika lini mkuu!!Hata wana CCM wenye akili timamu wanajua kuwa mshindi alikuwa Lissu,ila wenye akili za kwendea chooni tu ndiyo wanabisha.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hapa topic sio Lissu!Kikubwa watanzania wememuonesha jiwe kuwa hawakubaliani na aina ya utawala wake!Sasa kumbe unaumia kitu gani?
Huoni raha kwa Magu kumpita Sauth na senegal? Lisu angeweza wapi haya?
Watanzania wamemuonesha jiwe kuwa hawakubaliani naye,kura zilizomkataa kwa asilimia kubwa ni za watanzania!Ndio maana kabla ya link kuwekwa hapa na huko twitter alikuwa anaongoza,wabongo walivyoanza kupiga kura tu,akashuka kwa mwendo wa fastjet!Bado uko kwenye fikra za kitumwa ndio maana hata mgombea wako aliona option ya kwanza ni kukimbilia kwa Amsterdam
Pumzi imekata, mumebaki kujifariji.Hahahhaha... Mkuu unachoshindwa kuelewa ni kwamba Magu kawatupa mbali sana south na senegal! Mbona hilo hamlioni.?
Magufuli hata asiposhika nafasi ya kwanza lakini ile kuwabwaga hadi south ni promo tosha kwake.
Ha ha hahaahaa..Wanaccm msiwe na mashaka mambo ni bambam sasa!
Baada ya kufanikiwa kumpeleka Mahera kwenye tume ya kuhesabu kura za mshindi amefanikiwa kubadili matokeo na sasa yanasomeka kama hivi!
View attachment 1669430
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.
Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora
Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana
USSRView attachment 1665817View attachment 1668303
Hata Lisu na Membe walifikiri kelele za twiter ndio zitawapa ushindi.Watanzania wamemuonesha jiwe kuwa hawakubaliani naye,kura zilizomkataa kwa asilimia kubwa ni za watanzania!Ndio maana kabla ya link kuwekwa hapa na huko twitter alikuwa anaongoza,wabongo walivyoanza kupiga kura tu,akashuka kwa mwendo wa fastjet!
Nitaweka poll hapa JF kati ya JPM na Akufo uone nani atagalagazwa na watanzania[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]!
Sema nyie wajinga wachache hapo ufipa, usiseme watz! Usitusemee tafadhali.Hapa topic sio Lissu!Kikubwa watanzania wememuonesha jiwe kuwa hawakubaliani na aina ya utawala wake!
Kila aliyegombea aligombea ili ashinde lakini mshindi ni mmoja tuu na ni rais John Pombe MagufuliHata wana CCM wenye akili timamu wanajua kuwa mshindi alikuwa Lissu,ila wenye akili za kwendea chooni tu ndiyo wanabisha.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Cdm inatoka wapi hapa jamaa ?!. Mambo ya vyama peleka huko. Wangetaka wangeshindanisha vyama !!.tatizO walioandaa shindano sio CHADEMA.
Mbona mi kila nikifika haifunguki au mnatumia vpn msionekane mnatoka TZ.View attachment 1669625View attachment 1669626
Yap, ukiwa na vpn inasaidia..Mbona mi kila nikifika haifunguki au mnatumia vpn msionekane mnatoka TZ.View attachment 1669625View attachment 1669626
Unawasemea wewe kama nani..
Wewe ndio kibwengo sasa! Hivi unahangaikaje kumshusha mtu ambae tayari yuko juu yako?Vibwengo wa uvccm mlikuwa mnahamasishana mpige kura zaid ya moja hivi mlilenga nini hasa kwa jambo ambalo halikuwa na maana yoyote kwenu? Hii ndiyo kitaalamu tunaita sizitaki mbichi hizi.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unajua kwamba malalamiko yenu yakikuwa ni juu ya tume huru?Kwani hii kura ni ya Urais wa Tanzania? Kama ni hivyo mtumeni Jecha bingwa wa kupindua matokeo vinginevyo kaeni kimya maana naona mumeshapoteza mwelekeo ni kinapigiwa kura.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kura zilizoenda kwa Akufo ni ishara tosha kuwa wapiga kura wengi wa Tz wamemkataa jiwe!Wewe utakuwa kati ya kura chache zilizoenda kwa Jiwe,nazungumzia majority hapa!Sema nyie wajinga wachache hapo ufipa, usiseme watz! Usitusemee tafadhali.
Wamwzidiana 10% kwanini unajiaminisha kwamba hiyo 10% ni ya watz na siyo ya waghana wenyewe?Kura zilizoenda kwa Akufo ni ishara tosha kuwa wapiga kura wengi wa Tz wamemkataa jiwe!Wewe utakuwa kati ya kura chache zilizoenda kwa Jiwe,nazungumzia majority hapa!