Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

Kwa mujibu hiyo tuzo kiongozi anayetakiwa kupigiwa kura anatakiwa awe na sifa gani?
 
Siku unapata adhabu ya viboko hadharani na clip yako kuanza kuzunguka ktk mitandao ya kijamii ndipo utakapofunguka macho.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Wewe umefunguka macho?

Au kulalamika mitandaoni mnakofanya ndiyo kufunguka macho?

Nichapwe viboko kwa lipi au hao waliochapwa wamefuatwa kwao wakachapwa tu bila sababu yoyote?

Acha kutetea upuuzi kwa hoja zisizo na mashiko,utabaki kupiga domo humu siku zinaenda na uzee unakuandama.

Kosoa kwa hoja zenye mashiko na ushahidi siyo kufuata mkumbuko
 
Hiyo 56% kaipata wapi? au lumumba mme hack hiyo account mkaweka namba zenu kama kawaida yenu!

Inawezekana hizo kura zilikuwa na Nana A. Addo.

Hiyo takwimu ya karibu masaa 24 yakiyopita. Cheki hii ya karibu masaa mawili yaliyopita:
IMG_6834.jpg
 
Watanzania tunafaa kuonesha uzalendo kwa kumpigia kura Rais wetu ashinde kwa kishindo katika kinyanyanyiro hiki cha kiongozi wa kisiasa wa Afrika wa mwaka.

Rais Magufuli anashindanishwa na Marais wa Djibouti, Afrika Kusini, Senegal na Ghana wakiwa kwenye tano bora

Japo Magufuli anaongoza lakini kura yako ni muhimu sana

USSRView attachment 1665817View attachment 1665818
Wacha tumpigie Jiwe tu,
 
Kama hili shindano ni la kweli, mwenye kustahili ushindi huo itakuwa ni Nana Addo wa Ghana, ktk vigezo vyote vya utawala bora hakuna anayeweza kumfikia. Tuache unafiki kwa kuwa hata madonda ya rafu za uchaguzi uliopita na madhira yake bado hayajapona.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Nana addo si ndo amejiongezea muhula wa kugombea Ghana?
 
Back
Top Bottom