Tumbiliwaulaya
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 280
- 435
Hapo kuna chuki gani sasa?SIIONI HIYO CHUKI UNAYOISEMA, swali BABA YAKO ANA NG'OMBE? useme tu anazo wakati hana kisa ni baba yako utakuwa mpuuzi basi. watu wanapiga kura kujibu swali kama mtu anazo sifa ukakataa bila sababu hapo ni kitu tofauti.Hakuna kitu chochote zaidi ya kuwa mnaongozwa na chuki.