#COVID19 Tumpuuze Askofu Gwajima kuhusu Chanjo ya Corona

Hawa Ni zero brain don't be shocked anamkosoa mtu kwamaneno ya kanga
 
Hivi wewe unaakili TIMAMU kweli??lakini sishangai mpumbavu kujiona mwenye akili mbele ya mwerevu
 
Nafikiri wewe ndio mpuuzi wa kupuuzwa Gwajima kachambua kkitaalamu zaidi kuhusu chanjo hiyo na wewe umekuja na gazeti refu limejaa shutuma tu , pathetic
Hawa Ni zero brain wanatia hasira Sana jitu limeshiba huko linakosoa facts kwa maneno ya kanga
 
Kitendo cha kuingia kanisani kwake tayari unakuwa ushakuwa mtumwa wake wa kudumu.

Ndiyo maana hao kina Gwajima hawaishi kwenda kupeleka zaka Nigeria
So called conspiracies [emoji23]
 
Hivi kweli bado tunashindwa kujiongeza tu? chanjo ni suala la muda tu wala sio la hiyari haya maneno tutajiridhisha ni siasa tu kujikosha kuwa hatumgeuki marehemu waziwazi lazima tulete njia ya kutoka kwa marehemu kwa heshima maana kuna watu bado jinamizi la marehemu linawawinda. wamenza taratibu mask( walizozikataa) mashekh wameanza tufuate kinga na hata social distance( walizikataa) chanjo inaongelewa siku hizi katika majukwaa( hawakuthubutu nyuma huko) wana twist taratibu na wanaelewa kabisa chanjo sio hiyari tena ni muda tu hakuna cha kamati wala nini maamuzi tayari yameshafanywa.
 
Sisi wenye akili timamu tumemwelewa sana Gwajima. Alichokisema ni kwamba, tuwe makini na hizo chanjo.
Kingine alichokisema ni kwamba, kuna wenye akili fupi ambao hudhani kila kinachotoka nje ni kizuri kwetu. Huo ni ujinga.
Sasa mimi nakuomba wala usitaje vizuri vya nje nataka utaje vibaya tu vya nje maana nikisema utaje vizuri utajaza page taja vibaya tu vya nje? halafu tutajiuliza kilifikaje hapa. Nakuomba taja kibaya tu cha nje.
 
Warudishie ela zao!
Mama Samia :::Hatuwezi kuishi kinyume na wenzetu wanavyo ishi duniani maana Tanzania siyo kisiwa.

Titaruhusu chanjo lkn titazichunguza.

Jiwe ::::Hakuna kuchanja.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mimi nakuomba wala usitaje vizuri vya nje nataka utaje vibaya tu vya nje maana nikisema utaje vizuri utajaza page taja vibaya tu vya nje? halafu tutajiuliza kilifikaje hapa. Nakuomba taja kibaya tu cha nje.
Vibaya vya nje ni KUMFUNGIA BASHITE ASIKANYAGE USA
 
Moja ya hoja za hovyo kabisa. Wewe kama unaogopa kufa kwa Corona ni wewe nenda kachanjwe. Hoja alizotoa Bishop Gwajima zinamashiko, taifa haliwezi kufanyiwa majaribio aisee tumekuwa manyani sisi. Thubutu
Sasa wewe unamsema mwenzako halafu wewe unatuongelea Taifa kama nani? chanjo ije anayetaka kuchoma achome asiyetaka amfuate Gwajima sawa tu hakuna wa kukulazimisha ila kila jambo lina gharama zake. Ila usiongelee kama unatuongelea sote hapana.
 
Hivi nchi hii na watafiti wetu wanaofanya uchunguzi kujiridhisha hivi kuna dawa yoyote katika pharmacy zetu nchi nzima imeshawahi kugunduliwa hapa nchini na kupitishwa kwa matumizi ya binadamu? nauliza serious sio kama dhihaki hapana nataka kujuwa tu.
 
Umejibu mipasho siyo kwa hoja.
Hoja za Gwajima
1. Chanjo haijapata Kigali
2. Chanjo ipo majaribio na kwa dharura. Je, nchi/dunia nzima inakuwa majaribio?
3. Masharti ya chanjo ni kuwa itumike at your own risk. Mtengenezaji au msambazaji hawajibiki kwa madhara yoyote
4. Chanjo maana yake ni kufanya mwili utengeneze kinga. Itafanywa kwa kuingia kiasi cha vidudu vya ugonjwa. Hii ya corona haikupaswa kuitwa chanjo, haina sita ya chanjo.HII UNAINGIZIWA SOFTWARE KWENYE OPERATING SYSTEM YA MWILI (DNA &RNA).

Ndugu yangu ogopa sana kitu kinachokwenda kwenye jinetiki (Genetic). Maana inabadilisha hadi vizazi vijavyo.

Jibu hoja hizo siyo kuleta mipasho na bla bla
 
Nimefurahishwa sana na kauli ya rais wa Zanzibar jana kuwa mahujaji watapatiwa chanjo.

Hizo ndiyo akili za kiongozi wa watu maana anaonyesha anajali uhai wa wananchi wake.
 
Dawa pekee iliyogumduliwa ni nyungu chini ya ufundi wa malaika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…